Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Mavi ya kale hayanuki kaka! Mtabakia kuangalia Mambo ya zamani, fanyeni sasa tuone basi. Mko hoi taabani mwaka huu, hope you get relegated....hahaaaa

    ReplyDelete
  2. unajifariji mithupu,mwaka huu mmefulia

    ReplyDelete
  3. mwaka huu mlie tu mmefulia

    ReplyDelete
  4. ...I am confused. What is this for when Liverpool are dead and buried both at home and in Europe?

    ReplyDelete
  5. Naona mnajifariji kwa historia kama ilivyo kawaida yenu. Mwaka huu hamna lenu. Hata nafasi ya nne kwenye ligi mtaisikia na kuona tu kwenye news.

    Europa ligi mtapata kipigo pia.

    ReplyDelete
  6. Mzee wa Ankal nanhii...na wapenzi wa bwawa la maini najua tunapoza machungu. Basi naomba tafuta mda mtulivu halafu tazama GOLI hili. Hapa kijana alikuwa anacheza na injuries na alikuwa karibu anataka kutolewa. Ni mchanganyiko wa vyote kwenye hili goli hasira, ujuzi na kipaji kama kuna vingine nimesahau utaongezea kwenye huo muda mtulivu.
    Chukua link hii: http://www.youtube.com/watch?v=0ua7adsxo0Q&feature=PlayList&p=83551D486505AD5F&playnext=1&playnext_from=PL&index=45

    Asante Mdau Ukerewe hapa

    ReplyDelete
  7. oooh what a moment! kuna timu hazijawi kulinusa hili kombe wanalisikia tu. Teh he heh .
    Miamba watabaki kuwa miamba milele.

    ReplyDelete
  8. kama wewe ni mpenzi wa soka lazima ukubali safari ya bwawa kwenda kutwaa ubingwa ilikua tamu na ya kusisimua achilia mbali fainali yenyewe.

    ReplyDelete
  9. Anon wa 04:46:00 PM umenbsha mbali sana. Kuna magoli yanfungwa mpaka nywele za mwili zinasisimuka basi ilikuwa siku hii maana nilibaki mdomo wazi bila kuamni ninachokiona. Kwenye hii clip wadau watashindwa kuona jinsi mpira huu ulivyopigwa kiufundi na story behind it. Jinsi alivyokuwa analalamika kwa refa mara ghafla anageuka anakutana na mpira unamdondokea basi kitu kilichotoka pale ilikuwa simulizi mwezi mzima. Na lilikuwa goli la mwezi na la msimu.

    Mpenda soka Ughaibuni

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...