Mkali wa hip hop asiyechuja bongo Joe Makini akiwaangushia mipini ya nguvu wakazi wa jiji la Mwanza waliofika kujipa raha kwenye tamasha la Str8Muzik Festival;Inter-college special 2009 lililofanyika usiku wa kuamkia leo katika fukwe ya Bahigi beach,Ilemela jijini Mwanza.
Msanii kutoka nchin Kenya Nonini akitumbuiza jukwaani usiku wa kuamkia leo kwenye tamasha la Str8Muzik Festival;Inter-college special 2009,lililofanyika usiku wa kuamkia leo katika fukwe ya Bahigi beach,Ilemela jijini Mwanza.

Watu walikuwa kibao. kwa picha zaidi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...