Tshalla Muana akiimba jukwaani mbele ya wageni waalikwa wa Club E usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa Kilimanjaro.ndani ya hoteli ya Naura Springs jijini Arusha
Dansa wa Tshala Muana akionesha minjonjo yake jukwaani
mutuashi kwa kwenda mbele
wadau wa A-Taun wakiburudika




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Mashabiki wenyewe mbona walikuwa wachache hivyo :-(...ukumbi haujafurika kabisa huo

    ReplyDelete
  2. Kama miaka 15 au zaidi kidogo iliyopita alikuja Tanzania na kutoza kiingilio cha laki moja kwa kichwa (ndiyo, Tshs. 100,000/=) - nitakula kofia yangu kama safari hii kapata hata nusu ya hizo kwa kichwa. Mliokuwepo tafadhali nijuzeni. Mwisho ni suala la wadau wenzangu, kwa nini miaka hiyo watu walikitumia pesa namna hiyo?

    ReplyDelete
  3. Lazima wawe wachache kwa sababu wamewashtukia wacongo ambao wamegeuza Tanzania kama mradi wao. Huyu mama tayari ni kikongwe anakuja kuwaibia watu. Hamna lolote hapo.Ndio maana machalii wanaona hata uvivu kukaa chini.

    ReplyDelete
  4. Uncle Michu,vipi mwanamama Tshala hakufanya yale mambo yetu ya wakati ule alipokuja pale Diamond Jubilee,maana bi mkubwa ni mashuhuri kwa mitindo hiyo,na hata kuna watu huenda kwenda kwenye show zake kiwa kutegemea hizo fujo nzuri zake au umeogopa kuchafua hali ya hewa?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...