
Naibu Waziri kiongozi na Waziri wa Habari na Michezo Ali Juma Shamhuna (kushoto)akikabidhi vifaa vya michezo kwa mwakilishi wa Katibu Mkuu wa timu ya Simba Mohamed Kajole mara baada ya kukabidhiwa na Vodacom Tanzania ambao ni wadhamini wakuu wa kombe la Mapinduzi (katikati)Maneja Mauzo wa Vodacom Tanzania Atilio Lupala

Naibu Waziri kiongozi na Waziri wa Habari na Michezo Ali Juma Shamhuna akionyesha jezi zitakazo vyaliwa kwenye kombe la Mapinduzi baada ya kukabidhiwa na Meneja udhamini wa Vodacom Tanzania Emillian Rwejuna aliyekaa kushoto.

Naibu Waziri kiongozi na Waziri wa Habari na Michezo Ali Juma Shamhuna na Katibu Mkuu wa ZFA wilaya ya mjini Nassor Salumu(kushoto)wakionyesha jezi baada ya kukabidhiwa na wadhamini wakuu wa kombe la Mapinduzi Vodacom Tanzania

Katibu Mkuu wa ZFA Wilaya ya mjini Nassor Salumu Ali(kushoto)akisaini mkataba wa udhamini wa Vodacom kwenye mashindano ya mapinduzi cup(kulia)ni Meneja udhamini wa Vodacom Tanzania Emillian Rwejuna.
Hii lazima ilikuwa mchana na wageni wangechelewa hadi magharibi ingebidi iwe kesho yake asubuhi hata kama ingekuwa ni Jumapili. Tunamshukuru Allah kutupatia jua na mwanga wa bure. Tumepata changamoto nyingi za kutuhimiza ku kutumia nguvu za jua kama vyanzo vya umeme ili kuondokana na balaa la Tanesco.
ReplyDelete