Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngasa (kushoto) akimtoka beki wa Tusker ya Kenya, Humphrey Okoti katika mchezo wa kombe la Tusker uliofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar wikiendi hii. Yanga ilishinda 3-1

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Haya shauri yenu,mmejiingiza wenyewe kwenye mdomo wa mnyama..naomba mtokee uwanjani hiyo Boxing Day kwenye nusu fainali..hatutaki visingizio,.kama ni hela sisi tuko tayari tuwape mapato yote,,ili mradi tu mje uwanjani..teh teh

    ReplyDelete
  2. Dah! simba mnachonga sana nyie! sisi tukiwafunga tunahsbikia then basi yanaisha,lakini nyie loh!

    ReplyDelete
  3. naungana na tina simba funga mdomo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...