Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Hii kali. Je, naweza kupata mweusi wa aina hiyo? Lakini nashangaa MAKALIO yanaingiaje hapo kwenye jina la clip?

    ReplyDelete
  2. Jamani sasa hii kali. Naona teknolojia inatupeleka pabaya. Niliona habari fulani pia kwenye magazeti kwamba kuna jamaa nae anaishi na midoli miwili ya kike kwa muda mrefu na anasema hana haja ya mwanamke tena! Mungu atusaidie!

    ReplyDelete
  3. Jamani nani anaijua hiyo nyimbo? wazee wa macharanga mpo? anyone who knows the name of the song? imenikuna hiyo nyimbo nimemkumbuka Charles Hillary Mzee wa macharanga

    ReplyDelete
  4. kwa matatizo niliyonayo nitakuwa wa kwanza atakapoingia mtaani maana hawa wa ukweli kazi kwelikweli, mara kelele mara wivu mara kapata boy friend mfanyakazi mwenzie yaani we acha tu!!!!

    ReplyDelete
  5. Mungu wangu Michuzi wewe umeshindikana kabisa maana nimecheka kupita kiasi,safi sana du mwanamke anachonga utafikiri katiwa nyama ya moto mdomoni!!but how about Disposable Husband???Hahahahahahaha!!!!!1 Thanks kaka Michuzi.

    ReplyDelete
  6. hii itatufaa sisi ambao wanawake zetu wametuabuse nakutafanyatuwe na lowself esteem sasa baada ya kutumia mkono unamtumia huyo disposable wife

    ReplyDelete
  7. nlishaanza kuchekelea upajazzzz kumbe upepo!! aaargh
    Mdau wa pajazzz+titizzz

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...