Anaitwa Mr Mim. Ni Mtanzania aishiye uholanzi na hapa anakuja Ali Kiba na Big Bylla from Burundi. Anakuambia kaa mkao wa kula album ya kuumwa mtu inakuja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. kazi nzuri keep it up!

    ReplyDelete
  2. nimekubali...

    ReplyDelete
  3. Muziki umeenda shule, vijana wametulia! good job vijana.

    ReplyDelete
  4. nimeikubali kazi yenu watoto wa the hague hakuna kulala

    ReplyDelete
  5. hii nyimbo yaani nimeipendA SANaaaa

    ReplyDelete
  6. Jamani tizameni waafrika wenzet wanavyotunga na kuimba katika fani hii ya muziki wa kizazi kipya duniani. Watanzania kila mtu anataka kuimba hata walio na sauti mbovu pia. Tena na watunzi wa nyimbo na muziki wake wote ni kichefu chefu kitupu.

    Jamaa anakwangua sauti kama alokula mhogo mkavu na nguru, lakini walioviziwi wanamsifia.


    Jamani kuimba ni kipaji.

    ReplyDelete
  7. yani huyu mwanangu mwenyewe kabisa namkubali kinoma ni mkali ila watu wanabana nilishawahi kupeleka kazi yake kituo kimoja jina kapuni lakini wanaipiga kwa kujaribu sio vizuri kama kazi ya mtu nzuri kwa nini usimpe shavu?wabongo roho mbaya

    ReplyDelete
  8. Hapa bado kabisaaaaa....tuletee nyinginr Michuzi, Nimemdharau mpk Ali Kiba.

    Angalia song la Mr. Blue na kale kadogo, Linaitwa Dont let you go.

    Angalia song la Ay Leo.

    Hapo ndio tunaongea classic songs.
    Mcheki Dully sykes au TID...au Q-chillah kidogo.

    Kuna watu wanaimba by nature....bt hawa bado bado..

    ReplyDelete
  9. Big Up!Kijana
    wadau
    FFU

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...