
Ankal Michuzi!
Natumai unaendeleza
libeneke kama kawa kwenye blog yetu ya jamii.
Naomba uwatambulishe wanajamii
Naomba uwatambulishe wanajamii
Humu kaka kuna matangazo ya kazi zinazotangazwa kila siku kutoka katika vyanzo tofautitofauti, ikiwemo waajiri kutumuma matangazo yao ya kazi mojakwamoja kwenye blog.
Nashukuru sana Ankal
Nashukuru sana Ankal
na nakutakia kazi njema!
Mdau wa kazi999


hello!humu kwenye blog ya kazi999 please mngefuta zile post zilizoisha vilevile muandike tarehe tafadhali.
ReplyDeleteAhsante.
Mimi mfuatiliaji.