wadau kibao wameomba kukiona kilima nanihii
cha oysterbay jijini dar kilivyo leo. globu ya jamii inawakilisha..
unaruhusiwa kushangaa vikwangua anga vinavyochomoza kwa mbali kule

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Barabara iko kama bahri, haina mark yoyote, hivi serikali wameshindwa hata rangi?

    ReplyDelete
  2. kinaitwa kilima HAMU......mabinti huwa wanapenda sana kuhema kwa nguvu wakifika hapo

    ReplyDelete
  3. uhuru wa kuongeaaaa. hiki si kinaitwa kilima nyege....zi. sema usikike kijana sio unasema kilima nanii

    ReplyDelete
  4. Kuna kikwangua anga kilijengwa pale Toure Drive, njia panda ya kwenda Ubalozi wa Afrika Kusini kikapigwa nyundo kwa minajili ya kwamba hairuhusiwi kujenga vikwangua anga kwenye sea front.

    Jikumbusheni kwa kubofya link ifuatayo: http://issamichuzi.blogspot.com/2009/02/bongo-tambarare.html

    Eti vinazuia upepo kwa waheshimiwa wenye nyumba za kawaida nyuma ya kikwangua anga hicho.

    Sasa hivyo vikwangua anga vinavyoonekana hapo ambavyo viko maeneo hayo hayo ya sea front je vitapigwa nyundo?

    ReplyDelete
  5. hivyo vikwangua vya hapo havitapigwa nyundo kwani haviko kwenye main road kama vile isitoshe jamaa alishinda kesi ila ndo presha inapanda presha inashuka na anataka kuyauza yale magorofa ila ndo anavuta pumzi kwanza ndoto ya jinamizi ipite

    ReplyDelete
  6. Haya naona vikwangua anga vimeshaanza kuchafua skyline ya obay na masaki....soon patakuwa hapa tofauti na kariakoo

    ReplyDelete
  7. sheria ya ujenzi maeneo kama hayo public hayaruhu kujenja jengo zaidi ya ghorofa nne,ila kama kawaida TZ hela yako tu na sheria inapindishwa

    ReplyDelete
  8. vikwangua anga vyaja, lakini system ya maji taka ipo??????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...