Kunradhi wadau watukufu wa Globu ya Jamii,
Pamoja na hamu na jitihada ya kuendeleza libeneke la video lakini kwikwi ya spidi ya mtandao bado inafanya kazi iwe na changamoto kubwa kiasi hata inalazimu tupunguze ukubwa wa saizi ya video na kuambulia chenga-chenga.
Video ya Ivory Coast na Taifa Stars iko tayari lakini inapanda taratiiiiiiiibu hadi inakera. Hivyo wadau na tuvumiliane, nia ni nzuri tu lakini vitendea kazi iko jaa kwikwi dani yake.
Fibre Optic inaendelea kusambazwa kila sehemu ila haijakamilika kiiiivyo hivyo bado mtandao sehemu nyingi ni mwendo wa jongoo. Ukikaa sawa tu libeneke litanoga na inshaalla sio mbali sana toka leo!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Nae umezini nikuletee 40gb je unayo laptopppp

    ReplyDelete
  2. Usikonde ankal tunaaminia!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...