Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Halima Dendegu akipokea sehemu ya msaada wa vya vyakula kutoka kwa Meneja Uhusiano wa NMB Shy-Rose Bhanji ikiwa ni msaada wa benki hiyo kwa ajili ya wahanga wa mafuriko Wilayani Kilosa. Kulia ni Waziri wa Nchi (Utawala Bora) Philip Marmo, Waziri wa Fedha Mh. Mustapha Mkullo na Meneja wa NMB tawi la Wami Emmanuel Bushiri (kushoto)

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Halima Dendegu akiongea na Meneja Uhusiano wa NMB Shy-Rose Bhanji wakati wa kutoa msaada wa benki hiyo kwa ajili ya wahanga wa mafuriko Wilayani Kilosa.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh. Issa Machibya akipokea mfano wa hundi toka kwa Shyrose Banji. Shoto ni Mbunge wa Kilosa ambaye pia ni Waziri wa Fedha Mustapha Mkullo. Kulia ni DC wa Kilosa Mh. Halima Dendegu

Mh Mkullo na Mh. Machibya wakipokea mfano wa hundi ya shilingi milioni 10 toka NMB










Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. Du...huyo mama..Guu guu tu..Lol...!!

    ReplyDelete
  2. pole mhe mkullo kwa maafa

    ReplyDelete
  3. Domo langu kama lina nuksi. Wakati walipoteuliwa wakuu wa wilaya nilimwambia rafiki yangu mmoja "..Mungu pishilia mbali lisitokee balaa kama Tsunami liikumbe Tanga na wakuu wa wilaya wake walioteuliwa na Kigoma Wahutu na Watusi wasianze wazimu wao tena kama ule wa mwaka ´94 au Nkunda asipitilize Kongo Mashariki ikawa noma kikwelikweli halafu wateremke wale wageni wakushtukiza kwa mamilioni sijui itakuwaje.." Yalipotokea mafuriko Kilosa nikaongea tena na rafiki yangu nikamwambia hadi sasa hatujamuona Mkuu wa Wilaya ya Kilosa siyo katika luninga wala magazeti. Rafiki yangu akaniambia "..Certainly yupo Madale kwenye mazishi au yupo kwenye ziara za kuhimiza ujenzi wa shule. Lakini mostly jamaa wote wapo Madale kwa sasa yakiisha matanga utawaona Kilosa.."

    ReplyDelete
  4. hongela nmb

    ReplyDelete
  5. hongera NMB kwa misaada kwa jamii

    ReplyDelete
  6. INAPENDEZA KUONA TAASISI ZIKIJITOKEZA KUCHANGIA PENYE MATATIZO YA KIJAMII...SAFI SANA NMB

    ReplyDelete
  7. Jifunze kuvaa kwa huyu mkuu wa wilaya

    ReplyDelete
  8. NyakatakuleJanuary 19, 2010

    Kizuri chajiuza.

    Hongera Mh.Issa Machibya. Kwa mfano wako Ukuu wa Mkoa naona kweli una maana. Tunakufahamu kuwa wewe ni mtu wa kazi hata kabla ya kuhamia Moro.

    ReplyDelete
  9. keep it up nmb!

    ReplyDelete
  10. kwa kweli na mimi namfagilia mkuu wa mkoa wa morogoro baba mchapa kazi huyu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...