Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Halima Dendegu akipokea sehemu ya msaada wa vya vyakula kutoka kwa Meneja Uhusiano wa NMB Shy-Rose Bhanji ikiwa ni msaada wa benki hiyo kwa ajili ya wahanga wa mafuriko Wilayani Kilosa. Kulia ni Waziri wa Nchi (Utawala Bora) Philip Marmo, Waziri wa Fedha Mh. Mustapha Mkullo na Meneja wa NMB tawi la Wami Emmanuel Bushiri (kushoto)
Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Halima Dendegu akiongea na Meneja Uhusiano wa NMB Shy-Rose Bhanji wakati wa kutoa msaada wa benki hiyo kwa ajili ya wahanga wa mafuriko Wilayani Kilosa. 



Du...huyo mama..Guu guu tu..Lol...!!
ReplyDeletepole mhe mkullo kwa maafa
ReplyDeleteDomo langu kama lina nuksi. Wakati walipoteuliwa wakuu wa wilaya nilimwambia rafiki yangu mmoja "..Mungu pishilia mbali lisitokee balaa kama Tsunami liikumbe Tanga na wakuu wa wilaya wake walioteuliwa na Kigoma Wahutu na Watusi wasianze wazimu wao tena kama ule wa mwaka ´94 au Nkunda asipitilize Kongo Mashariki ikawa noma kikwelikweli halafu wateremke wale wageni wakushtukiza kwa mamilioni sijui itakuwaje.." Yalipotokea mafuriko Kilosa nikaongea tena na rafiki yangu nikamwambia hadi sasa hatujamuona Mkuu wa Wilaya ya Kilosa siyo katika luninga wala magazeti. Rafiki yangu akaniambia "..Certainly yupo Madale kwenye mazishi au yupo kwenye ziara za kuhimiza ujenzi wa shule. Lakini mostly jamaa wote wapo Madale kwa sasa yakiisha matanga utawaona Kilosa.."
ReplyDeletehongela nmb
ReplyDeletehongera NMB kwa misaada kwa jamii
ReplyDeleteINAPENDEZA KUONA TAASISI ZIKIJITOKEZA KUCHANGIA PENYE MATATIZO YA KIJAMII...SAFI SANA NMB
ReplyDeleteJifunze kuvaa kwa huyu mkuu wa wilaya
ReplyDeleteKizuri chajiuza.
ReplyDeleteHongera Mh.Issa Machibya. Kwa mfano wako Ukuu wa Mkoa naona kweli una maana. Tunakufahamu kuwa wewe ni mtu wa kazi hata kabla ya kuhamia Moro.
keep it up nmb!
ReplyDeletekwa kweli na mimi namfagilia mkuu wa mkoa wa morogoro baba mchapa kazi huyu
ReplyDelete