Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon katika salamu zake amesema, historia ya Tanzania haiwezi kukamilika bila ya kutajwa kwa Mzee Rashidi Mfaume Kawawa, kiongozi ambaye kwa kushirikiana na Baba wa Taifa, Mwaliku J.K. Nyerere waliogoza mchakato wa kudai uhuru wa Tanganyika, akalijenga taifa la Tanzania lenye umoja, amani na maendeleo, akalitumikia taifa lake kwa uadilifu na uaminifu, huku akitoa mchango mkubwa wa ujenzi wa misingi imara ya uzalendo, utaifa na mchikamano misingi ambayo inaifanya Tanzania kuwa hivi ilivyo, alikuwa mnyenyekevu, mkweli na aliishi maisha ya mwanasiasa aliyejitolea maisha yake kulitumikia taifa la Tanzania na watanzania.
Home
Unlabelled
umoja wa mataifa wamlilia simba wa vita
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Nawaona wadau Omari Mjenga na Helen Maduhu. Nimefurahi kuwaona jamani kweli kusoma kuzuri!
ReplyDeleteMbona wote ni watu wa Tanganyika? Ivi hakuna hata mzenji mmoja ambae ana sifa za kupata kazi hizi?au ndio wawakilishi wa Tanganyika na sio Tanzania?
ReplyDelete