Mkurugenzi wa Benki ya Wanawake Tanzania, Bibi Margareth Chacha akitoa ufafanuzi kuhusu Benki hiyo kwa ujumbe wa wabunge wa Namibia waliotembelea taasisi hiyo.Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wanawake Tanzania, katikati ni Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto, Mhe. Lucy Nkya.
Mkuu wa Msafara wa Wawakilishi wa Wabunge wa Namibia, Mhe.Elia George Kayama, akipata huduma za Kibenki katika Benki ya Wanawake, walipotembelea Benki hiyo jijini Dar Jumatano. Katika ziara hiyo walikuwepo pia Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...