


Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hiyo ndiyo Tanzania...ambapo viongozi wanadhani kutembelea mataifa ya ulaya KUOMBAOMBA ndiyo kutatatua COMMONSENSE problems kama hizi za alama za usalama barabarani, wakati gharama wanazotumia kwenda na kurudi huko ULAYA zingetosha kabisa kuondoa matatizo haya madogomadogo.....
ReplyDeletePOLENI SANA wafiwa. Nasikitika kuwa nilipanga kuandika juu ya hatari hii mapema lakini imetokea kabla sijafanya hivyo. Juzi Jumamosi asubuhi kama saa tatu hivi nusu kichwa kingine kigonge saloon moja. Mimi nilikuwa kwenye gari lingine kilicho niokoa ni kelele za mshangao wa wananchi. Kwani gari na enjini ya traini zilipishana kwa nusu inchi hivi. Nami nilikuwa kwenye mkumbo. Tatizo hakuna alama na watu wamejenga vibanda hivyo hakuna"visibility" uonekano. Pia niliambiwa kuwa honi ya treni hiyo ni mbovu. Naomba yawekwe matuta kwani kama mtu ni mgeni ni wazi wataumia wengi
ReplyDeletePOLENI WOTE MLIOKUMBWA NA MKASA HUU.HAYA NDIYO MATATIZO YA KUTOKUWA NA FLY-OVER KATI YA BARABARA NA RELI NA BARABARA MOJA NA NYINGINE.WADAU NAOMBA KUFAHAMU NI KWA NINI VIONGOZI WETU WENGI WANAPENDA KU "PICK NOSE"WANAPOKUWA WAKIONGE,KAMA HUYO AFANDE ALIVYOFANYA,SIYO TU NYUMBANI HATA WANAPOKUWA KWENYE INTERNATIONAL STAGE?JE,HAYA NI MAADILI YA KITANZANIA?
ReplyDeletePoleni sana familia na ndugu walioguswa na ajali hiyo
ReplyDeleteMungu awe nanyi
nasikia treni kutokana na uzito wake na na magurudumu ya chuma na barabara ya chuma ule msuguano huwa unatengeneza nguvu ya umeme, sasa kama gari inavuka reli huwa inavutwa(umeme wa gari una kuwa neutral) kwahiyo hapa gari inakosa nguvu/inazimika na ndipo balaa linapotokea mfano yarabi salama dodoma. Hizi ajali zinatokea nyingi sana tz sema huwa hazitiliwi maanani sana, tulioishi maeneo ya reli nadhani tunaelewana
ReplyDeleteushauri=ajali hizi ni ngumu sana kuzizuia,reli zisikatize barabara za watu au magari,pia ni hatari kwa usalama wa treni mfano hujuma nchi nyingi reli huwa imepigwa fensi.
poleni wahanga
Hivi ni mimi tu peke yangu nimesikia officer wa polisi anasema ajali imetokea saa nne na dakika sitini na tano?
ReplyDeleteHao watoto hapo wananitia huruma kwa kweli. Nini future yao, miaka yetu ingekuwa kwanini hawapo shule.
ReplyDeleteBongo tambarare kweli
ReplyDeleteOfisa wa polisi hayupo serius kabisa kutoa taarifa, bali yupo busy kuulizia ...”sawa...”? sijui anaulizia usawa wa namna gani badala ya utoa taarifa
tunawaombea mungu majeruhi wote wapone haraka na kumuombea mungu aiweke roho ya marehemu mahala pema peponi, amin.hivi hakuna maswala zaidi ya kuulizwa huyu muheshimiwa polisi, isipokuwa idadi ya watu, hivi hawa wanahabari wamelewa kama polisi mwenyewe nini?
ReplyDeleteWakati mwingine haya mambo yanatokea kwa uzembe. Juzi nilikuwa maeneo ya reli inayokatiza banda la ngozi, along Pugu/Nyerere road. Magari yasiyopungua matano, yote yalikuwa yanapita kasi ili kukiwahi kiberenge kilichokuwa kinakatiza. Kiberenge kilikuwa kinapiga honi za mfululizo kuashiria ujio wake, lakini wenye haraka zao nao walikuwa wanachochea magari yao ili kuwahi kupita! Kwa maoni yangu, huu ni ujinga usio na kipimo.
ReplyDeleteAll in all, nawatakia uponyaji wa haraka majeruhi wa ajali hii.
heeeee siamini treni na gari?afu izo nyumba apo mbona ziko pembezoni ivo mwa reli?
ReplyDeletedakika 65?saa ya wapi hii
poleni wahanga wote Mungu awatie nguvu
Dakika 65 hazipo mheshimiwa!!halafu unatoa taalifa utadhani unauliza?duh!!!Eti lakini deleva huyo,,lakini kwenye ajali hiyo! anaongea kitu unafikili hana uhakka,,,
ReplyDelete