







Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
goodjob!........................................
ReplyDeleteAnkal,
ReplyDeleteTunashukuru kwa blogu ya Jamii kutambuliwa na wewe kukabidhiwa cheti kwa niaba ya wadau.
Ahsante
Mdau
Ankal, fulanaaaaaz iliweza kukauka na kuwahi hafla au uliivaa ikiwa na unyevunyevu! I love the fulanaaz.
ReplyDeletetakukuru na kova mko likizo?
ReplyDeleteAnkal
ReplyDeleteHongera sana kwa cheti.Swali langu ni moja,vilitumika vigezo gani kutolewa hivyo vyeti?Nauliza kwa sababu mimi hapo globu ninazozijua ni mbili tu ya kwako na mdogo wako.mbona kuna globu zingine nzuri na zna newz kibao hazipo??!!au ndio takukuru..lol
ahh!!! Tedy mi nakufagilia sana kwa kweli, mara zote shughuli zako huwa 'bab kubwa' tangu ulipokuwa 'ba' ila najiuliza ujasiri uliokuwa nao wa kubeba hilo joka, duh, si mchezo, nakumiss sana, unajua sana kupanga shughuli, ni faraja mno kufanya kazi na wewe, keep it up my sister. mdau
ReplyDeleteafu keki zote izo?fadhilini basi kituo kimoja cha watoto/vijana yatima
ReplyDeletewalevi kama kawa