Kikosi kamili cha timu ya Kijitonyama Stars a.k.a “wazee wa dozi” kipo tayari kwa mzunguko wa pili wa ligi ya TFF ngazi ya wilaya ya Kionondoni. Timu hii mbali ya kucheza soka la kitabuni pia linasifika kwa kutoa vipaji. Wazee wa dozi ambao hivi sasa wamejichimbia katika kambi yao Kigamboni, wanategemea kurusha karata yao ya kwanza siku ya Jumatano tarehe 24 February kwa kupambana na Friends Rangers katika uwanja uliopo shule ya Msingi Mwalimu Nyerere.
Home
Unlabelled
wazee wa dozi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
hivi huyo mwenye jezi nyeusi ni refa au g'kipa?
ReplyDeleteNasikia KIFA walitaka kuwadhulumu nafasi yao wakawapa Sifa Utd, bila vijana kupambana hadi DRFA kudai haki yao sijui ingekuwaje. Bongo soka hovyo kweli, kumbe KIFA wana timu zao wanazozibeba. Kazi kwelikweli!!!!!!
ReplyDeleteHuyo ni kocha wewe, mwangalie vizuri, ha ha ha teh teh teh tih tih uuumwiiii.
ReplyDeleteHuyo ni refa, yote hiyo ni mizengwe ya KIFA kadi za timu walizipoteza ikabidi kabla ya mechi timu ipige picha na mwamuzi ili wakalinganishe na fomu za usajili, MKIAMBIWA BONGO SOKA MIYEYUSHO MNAKATAA, HII YOTE ILIKUWA FITINA TU ILA CHAMA LILIKOMAA HIVYO HIVYO!
ReplyDeleteHuyo wa tatu kushoto ni Godfrey Bonny?
ReplyDelete