ankal akisalimiana na mchezaji wa zamani wa yanga, salum kusi, wakati akiondoka kuelekea Ukerewe mchana huu. anasema libeneke liko pale pale hata akiwa hayupo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 26 mpaka sasa

  1. Asante sanaankal wape salaams kutoka dar city center huko UK. Waambie "PAMOJA WE CAN-THANK YOU SANA"




    ----------------------
    Mdau
    Dar-TZ

    ReplyDelete
  2. JAMANI ANKO MICHUZ MIE MWENZIO NTA KUMISS SANA TU

    ReplyDelete
  3. mh kumbe kweli??ze fulanazz

    aya katetee diasphora

    ReplyDelete
  4. Ankal Umependeza,mie nimefika bei fulanazzzz !nikuvue au?

    ReplyDelete
  5. karibu kaka kwenye kibaridi.safari njemaaaaaa

    ReplyDelete
  6. wadau wa ukerewe tunaomba muifanyizie hiyo fulanazz isirudi bongo donge nono litatolewa!

    ReplyDelete
  7. Tunachokupendea Ankal sisi wadau wako ni hiyo fulanazzzzzz! Huwa unatuwakilisha nayo vema kabisaaaaaa!
    Safari njema huko UKerewe.

    ReplyDelete
  8. safari njema kaka twakusubiri kwa hamu sana hapa UK.
    Mdau -Ukerewe!!!

    ReplyDelete
  9. Ankal kaambiwa na mganga wake akitaka kusafiri avae ze fulanaz

    ankal safari njema na ukifika tuwekee habari moto moto na mapicha kibao usikose kupiga picha kwenye mabasi na train utuwekee humu alafu huu ni wakati wa ze njiwaz wanakuwa wengi usikose kupiga nao picha njiwa wenye amaniz sio wa huku kwetu njiwa wanakosa amani kwa ze manatiz

    ReplyDelete
  10. The number one bloger aka wajina aka Ankal wish you safe journey. Uende na urudi home salama ingawa libeneke linasonga kama kawaida kwa kasi popote ulipo.

    Chef Issa

    ReplyDelete
  11. HAHAHAHAHHAH DUH HAKO KAFULANA NI ID YAKO TOSHA MI NAKUSHAURI KWAKUA UNAIVAA KIMACHALE SANA USIIFUE MAANA IKICHANIKA DUH MHHHHH NAONA UTALIA HATA UKINUNUA NYINGINE TUTAISHTUKIA ITAKUA MPYA HII NDIO ORIGINAL BWANA HAHAHAHAHAHAAA UTANI NI AFYA ANKAL SAFIRI SALAMA.

    MDAU DUBAI

    ReplyDelete
  12. Duh!!Ankal Kweli wewe ni noma!!!Hivi hiyo Fulana ina nini hasa jamani??Hii picha ntaihifahdi ili nije kuwaonesha wanangu Inshaallah.

    ReplyDelete
  13. Mweeh!

    Michuzi sasa umezidi. Ze fulanazzz mpa Yuu Kei! Khaah!

    Kweli hii nadhani umekwenda nayo NGENDE wewe.

    ReplyDelete
  14. Ankal, je utakutana na nabii yohana John mashaka wa Diaspora???

    Tunasubili atko zake toka diaspora

    ReplyDelete
  15. Ankal safari njema, ila ukirudi piga mnada Ze Fulanazzzz.

    Mi naanza na dau la kwanza: Tshs. 100,000/-

    ReplyDelete
  16. umekumbuka the fulana????za norway...mdau

    ReplyDelete
  17. ANKO ETI VIPI? KIATU CHAKO KIZURI,LAKINI NAKUSHANGAA UKIJAGA MSIKITINI MBONA UNAVAA NDALA KULIKONI?

    ReplyDelete
  18. ANKAL BLOGI YAKO INAVUTIA WATU SI KWA HABARI TU HATA WEWE MWENYEWE NI BURUDANI TOSHA HIYO ZE FULANAZII ULIYOTINGA NI MAARUFU SANA,,YAANI ANKAL PAMOJA NA WATU KUSEMA UBADILISHAGE YAANI WEWE UNAENDELEA NA WEMBE HULE HULE NA LEO NDO UNATINGA NAYO UK,,,HAHAHAHAH ANKAALLLL BURUDANI SANA.....

    ReplyDelete
  19. Ankal mimi naomba nikuulize swali la kizushi hii fulana ndio yenye mambo yote. Maana picha nyingi umepiga nayo.

    ReplyDelete
  20. Inaelekea ANKAL hii the fulanazz unaipenda sanaaaaaaa.

    ReplyDelete
  21. ankal karibu ukerewe ila baridi na kimvua ndo vimetawala.sasa hiyo ze fulana itakuua na baridi au una mpango wa kuingia Primark kununua jacket..tehe tehe tehe

    ReplyDelete
  22. Bwana Muhidini Wa Issa naomba ummpe salamu zangu nyingi huyo Beki wetu wa kushoto wa wazamani sikutegemea angekuwa bado yupo fit hivyo, ebwana hongera zake sana tena sana kwa ku-maintain life maaana hata hao wachezaji waliocheza miaka kumi baada yake afya zao ziko duni sana, salum kusi nilimuona nikiwa hata Shule ya msingi sijaanza, hivi sasa nina miaka 40, siamini km salum kusi bado anaonekana kijana hongera sana kuona hivyo. Mimi mdau mbegu Reading . UK

    ReplyDelete
  23. Fulanazzzzz

    ReplyDelete
  24. umebeba koti...kuna kipupwe huku

    ReplyDelete
  25. Karibu Sana Ankal, tunakusubiri kwa hamu na sasa kibaridi kimepungua. Vipi Anti umemwacha wapi unakuja peke yako??

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...