Home
Unlabelled
Bodi mpya ya TSN yazinduliwa leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mkuu wa wilaya, tuambie majina yao na si kututajia watu wawili tu.
ReplyDeleteHii ni bodi ya wazee. No any young man in the team. sasa utategemeaje mabadiliko na ushirikishwaji vijana. Mimi najua hili taifa limewaweka vijana kapuni,
ReplyDeleteIts a fact anyone can see
Ankal wape Hongera bodi nzima, ila kuna jambo la kushangaza kidogo katika uzinduzi huu tumeambiwa mpaka sasa hakuna mtendaji mkuu ama Managing Editor na hii ni zaidi ya mwaka sasa kulikoni????
ReplyDeleteWametangaza utaratibu wa kupeleka majina matatu kwa JK hili afanye uteuzi wa jina moja la ME, lakini mbona hawasemi hayo majina matatu yanapatikana kwa utaratibu gani?? au ni lobying kwa kwenda mbele?? kama ni hivyo kwanini wasimpitishe tu huyo aliyekuwa anakaimu kwa kipindi chote hiho kuwa ME??? au kuna kaufisadi hapo?
Maoni yangu mi nadhani Mkumbwa Ali apitishwe ama apewe U-ME.
Baba yangu sijui ataingia lini kwenye bodi hizi.....**sad**
ReplyDelete