Home
Unlabelled
tangazo la misa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
jamani to be honest machozi yamenitoka ,tito watoto wako walikuwa wazuri mpaka raha najuwa mliwapenda zaidi ila mungu aliwapenda zaidi ,lakini naimani ata wapa wengine wazuri kama malaika ,nakumbuka kuna siku tulikutana mahali ukanisimuliwa ,kuwa walishawai kutoka kwenye one of magazine bt sikubahatika kuliona ,naungana nanyi katika siku hii ya leo kwa kuwaombea mungu awalaze mahali pema peponi malaika wenu,
ReplyDeleteMwenyezi Mungu aliwapenda zaidi,yeye aendelee kuwatia nguvu katika kuwakumbuka wapenzi wenu hawa.
ReplyDeleteIts really sad..hawa watoto wamenitoa machozi jamani.. walikuwa wazuri sana..poleni sana wazazi wa hawa watoto..kazi ya Mungu haina Makosa!!
ReplyDeleteRIP dear children!!
MUNGU AWAREHEMU. AMEN
ReplyDeleteOHHH LOVELY KIDS, MAY GOD REST THEM IN PEACE AMEN. VERY SAD!
ReplyDeleteeeh Mungu wangu inauma sana kuondokewa na ndugu zetu ila jamani watoto inatia uchungu sana sijui hawa walikuwa mapacha? Mungu awarehemu milele. Amen
ReplyDeleteoh my god, jamani sina mtoto lakini nimeona hawa watoto roho imeniuma sana, may god rest their soul in eternal peace. Amen.
ReplyDeleteoh sandra and shawn jamani.poleni sana tito na vickie najua siku ya leo ni ya majonzi sana,mumgu awtie nguvu.sisi tuliwapenda wenetu lakini mungu aliwapenda zaidi.mwenyezi mungu awape pumziko la milele wapumzike kwa amani.amen.
ReplyDeleteoh sandra and shawn jamani.poleni sana tito na vickie najua siku ya leo ni ya majonzi sana,mumgu awtie nguvu.sisi tuliwapenda wenetu lakini mungu aliwapenda zaidi.mwenyezi mungu awape pumziko la milele wapumzike kwa amani.amen.
ReplyDeleteOoh lord, rest their souls in peace. Inauma kwa kweli. Bt, nimebaki najiuliza nini kilisababisha vifo vyao?!! Mungu wangu, maana wamepishana 6 days only... Mungu awarehemu
ReplyDeleteYsha
oh! they were really lovely ... my heart goes out to the family...may their souls rest in eternal peace amen.
ReplyDeleteAcha mungu aitwe Mungu!!! raha ya milele uwape eeh Bwana na mwanga wa milele uwaanagazi wapumzike kwa amani.
ReplyDeleteDotto!!
Mungu awalaze salama watoto wazuri.. kuna mtu anaweza kutueleza nini kilichotokea jamani..
ReplyDeleteNaomba waliopatwa na msiba wanisameje ila mimi sometimes nakuwa na wasiwasi na imani zetu.. I still wonder why would God let this happen to his angles..why why?
i will keep you in my prayers my dear cousin,
ReplyDeleteKazi ya mungu haina makosa na tunamshukuru kwa kila jambo, ila kusema ukweli hawa watoto siwajui na wala wazazi wao siwajui ila roho imeniuma mpaka machozi yametoka, wat a luvly angels jamani, poleni sawa wazazi mungu atawapa nguvu na atawajalia uzazi mwingine mzuri kama huu, may there soul rest in peace, such luvly kids aaahh, so sad.
ReplyDeletewazazi poleni sana!! I am so touched with this!! If you don't mind what realy happened to them? was it an accident?
ReplyDeleteIts real sad kwa watoto wazuri kama hao kupotea jamani nini kiliwapata? poleni sana na Mungu awepe moyo wa uvuilivu
ReplyDeleteThe cutest of all angels that ever stepped feet in this cruel world. Please God, let these angels watch over their parents since i can't even imagine what they are going through. Emotional pains never heals. Above all, Vickie and Tito, believe that God had a reason although we dont know it or its hard for us to understand, just believe that God is Love. He will never bring something to you and not bring you through it. I pray that GOD WILL GRANT YOU GUYS SERENITY, TO ACCEPT THINGS YOU CAN NOT CHANGE, TO CHANGE THE THINGS THAT YOU CAN AND TO KNOW THE DIFFERENCE.
ReplyDeleteYour ANGELS are watching over you from above.
LOTS of LOVE,
CATHERINE
aisee nimelia,,siwajui kabisa ila nasikia uchungu kama wanangu tu,,jamani mapacha awa kiliwapata nini??
ReplyDeletemama wa watoto uchungu wako haufikiki,pole sana na Mungu akutie nguvu sana na alejeze uzao mwingine,na baba wa watoto,uwiii
ningekuwa dar ningehudhuria misa,poleni wapendwa
Yesu wangu!
ReplyDeleteni mwaka 2007?