CRDB bank Managing Director Dr. Charles Kimei speaks during the farewell party held in Dar over the weekend in honour of the outgoing Deputy Managing Director Jens Pedersen who has just completed his 7-year tour of duty in Tanzania
CRDB Bank's outgoing Deputy Managing Director Jens Pedersen speaks during the party

Some of the CRBD bank employees mingle during the farewell party
Outgoing deputy managing director Jeans Pedersen (R) and his wifeBente, receive a gift from CRDB bank Arusha branch Director Ms.Chiku Issa during the farewell party
CRBD bank employees attend the farewell party in Dar es Salaamover the weekend the bank hosted in honour of the outgoing Deputy Managing Director Mr. Jeans Pedersen who has just completed his 7-year tenure in the country







Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Hizo picha mbili zinazotoa zawadi ni picha hiyo hiyo moja, lakini tunaambiwa moja ni Pendo na moja ni Chiku, ipi ni ipi?

    ReplyDelete
  2. huwa nasikitika sana kila ninapogundua kuwa ajira nyeti nchini zinashikiliwa na weupe.I disagree kuamini kuwa hakuna mtanzania mwenye uwezo wa kuwa MD wa CRDB.
    nimekua ughaibuni kwa miaka sita sasa,si rahisi sana ulaya mgeni tena mweusi kushika nafasi kama hizi ambazo sisi tunawapa hawa wageni.
    I stand to be corrected.
    THE SON OF AFRICA A.K.A KIJANA WA KIJIJINI.

    ReplyDelete
  3. kwa bongo ya sasa hivi ilivyo waache tu hawa weupe washike hizi nafasi nyeti,kwa kweli nawakubali wanafanya kazi nzuri sana ndio wanaipelekea crdb wanatengeneza faida kibao,tatizo sisi wabongo tukipewa nafasi kubwa kama hizo tunafikiria kuiba tu.

    ReplyDelete
  4. Kweli anony wa kwanza, huyo mwanamke lazima awe jini. tu yule yule majina tofauti lakini kali ya yote anafanya kazi Morogoro na Arusha!

    ReplyDelete
  5. ni bora kabisa washikilie hao weupe at least maendeleo yanaonekana hamuoni crdb walivyo juu?? chekini hata ofisi zao zilivyo bomba wazawa asilimia kubwa wavivuuu na wanawaza jinsi ya kuifilisi kampuni mie naona hata tra awekwe muisrael bandarini waingereza eapot wamarekani

    ReplyDelete
  6. annon 04:11am

    umenigusa moyo wangu,

    ila tupo wabongo wenye mioyo isiyo ya kifisadi na uchapakazi uliotukuka,sema ndo ukutane na vikongwe vya ofisi,,,utajuta!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...