
SISI TUNAWAJUWA HAO MAN UNITED KAZI YAO KUPEWA PENALTI ZA BURE TU. SIJUWI MPAKA SASA WAMESHAPEWA PENALTI NGAPI DHIDI YA LIVERPOOL. NAKUMBUKA KUNA WAKATI MMOJA WALIPEWA PENALLTI MBILI DHIDI YA LIVERPOOL. WEWE ACHA - NAJUWA WE HAD A BAD SEASON LAKINI MATOKEO MENGINE NI MAREFA TU. BADO TUNAKUMBUKA MECHI YA SUNDERLAND - MDAU OMAN
Ndungu yangu, nini nguvu ya hoja yako hasa. Maana nimesoma toka mstari wa kwanza sijaona sababu zilizopelekea utuwekee wana blog sababu ya Manu kwamba wanapewa penati na marefa pasipo makosa dhahili. Onyesha vielelezo kama unavyo, siyo tu kuongea juu ya manu kupewa penati 2 dhidi ya Liverpool, je kama zilikuwa halali.
ReplyDeleteInaonyesha wewe ni mpenzi wa Liverpool lakini pia inaonyesha soka hulijui na kanuni zake bali umesukumwa tu na huo upenzi kuposti hii habari yako. Kama wewe ni mfuatiliaji mpira sana, nakumbuka kuna timu ilipewa penati ya namna hiyo siku ilikuwa ikicheza na manu, wakati Raphael alipomshikilia mshambuliaji wa timu pinzani kuanzia nje lakini hakuangua akiwa nje na baadaye ndani ya penati box jamaa akaanguka na penati ikapigwa.
Manu hawakulalamika, bali hilo ni soka na sheria zake. Mashabiki wa Arsenal nao kelele nyingi tu kuhusu machester kupendelewa, hivi na kwenye Eufa Champion League walipochukua ubingwa miaka miwili iliyopita na mwaka jana kufikia fainali manu walipendelewa, kama ndiyo hivyo mbona hawakufunga mechi ya mwisho walipokutana na Barcelona?
Kubali Liverpool ilifungwa yaishe, maana ukibaki kunung'unika hata haisaidii, nyie ndiyo wale wale mnaojinyongo eti kwa sababu timu yako imefungwa. Maana hamjui kuwa katika mechi ya soka kuna matokeo matatu ambayo timu moja itapata mojawapo (kufunga, kutoa sare au kufungwa).
Vinginevyo, ungekuwa unasikia vifo vya makocha wengi tu wa soka duniani kwa kupoteza mechi, lakini kwa vile wanajua soka ni nini hilo halitokei, ila waingiao kwenye fani yenyewe kama mashabiki/wepenzi pasipo kujiandaa kama wewe mdau wa Oman, ndiyo wanaoumia bila kujua sababu na kuishia kugugumia tu.
Itakuwa siyo haki kusema manu inapendelewa wakati hata jana Liverpool walizidiwa wakati wote ukiondoa shambulio zuri lililozaa goli zuri la Torres.
Manu oyeeeeeee!!!
mi nlikuwepo uwanjani na kwakuwa ilikuwa mara yangu ya kwanza kutizama gema la watani wa jadi hawa nilikuwa nakodoleamacho kila kitu kwa kweli valencia ile faulo alijirusha na mascherano alimgusa wakati akiwa bado yuko nje ya box refa aliamua kuwapa penalti na ile ni influence ya malalamiko ya fagason aliyoyatoa kabla ya mechi akidai kuwa man u wachezapo na liverpool basi marefa huwapendeleaga liverpool hizo ni pre-match claims alizotoa fergie na zilimsaidia sana refa aliwalinda kimtindo. liverpool walikuwa fresh sana na wangeweza kuua shetani mwekundu kwa mara nyingine kama ilivyo jadi!!! baada ya mechi nje ya old trafford palikuwa hapashikiki mashabiki wkiwa wamelewa chakali walikuwa wakishangilia sana kuifunga liverpool manake walishazoea kuwa wanyonge kwa liverpool kwa muda sasa, na ungeona baada ya torres kufunga bao mashabiki walikuwa wanatamani kukimbia majukwaa walijua ni aibu kama ile ya 4-1 inakuja ukizingatia torres aliwaliza mapema sana..
ReplyDeleteanyway washkaji hizo hela muwe mnasafiri na kuona mambo mbalimbali sio una hela unazikalia tu bongo hapo na kuridhika na bilicanas nk mi nliamua kucheki gemu hili na ninasubiri la chelsea na man u tarehe 3 april kabla cjaendela na vekesheni london na newyork, raha jipe mwenyewe bwana!!!!!!
MCHEZAJI WAO MWENGINE YULEEEEEEEEE WEBB KAVAA BLUE HAHAHA.
ReplyDeleteYANI LIVERPOOLFC MSIJALI ARSENAL TUNABEBA JUZI ASSISTANT REFA KAVUTWA NA CAMERA ZIDI YA WESTHAM NA BONGE LA TATOO LA MAN UNITED GAME NA CHELSEA WAMEMUWEKA BENNET YULE REFA PIA MAN UNITED LAZIMA APENDELEE MAN UNITED REFA NA MAGOLI YAO 10 ya OWN GOAL MABEKI WANAJIFUNGISHA KUSUDI. MSIJALI ARSENAL TUNABEBA. MAN UNITED WITH REF LOL!.
JAMES.
Hiyo ni tofauti ya Man U na timu nyingine. Fergie akiona marefa wamesahau kumbeba anawashtua kabla ya mechi na madai ya timu yake kunyongwa.
ReplyDeleteTatizo wengine hapa ni washabiki tu hawajawahi kucheza hata mpira wa makaratasi..comment zao zinajionyesha tu
ReplyDeletekazi kufata mkumbo tuu wa maneno ya kibongo manuu inabebwa mbona hatujaona mtu akiwabeba mgongoni?? na huyo ferguson nani alimuona aliwahonga marefa hela kazi kushabikia ushambenga tuuu manuu ni timu boraaa ndo mana hata ronaldo aliuzwa kwa bei kali hilo mnalijua soka inatandazwa mnajidai vipofu mmefulia kwenye miguuu kama si makalio mtukome manu juuuuuuuuuuuuuuu sana kama nyota!!!
ReplyDeleteMimi naona kwa kweli kila mmoja anasema lake kwa kuwa labda hamjui kwa kuwa huwa kila asiejua anasema hili mara lile na hata wengine wanadiriki kusema kuwa walikuwa uwanjani lakini najuwa kila asieweza huwa ni mlalamishi lakini tujiulize ni misimu mingapi imepita timu fulani fulani wanashinwa kuchukua hata kombe moja lakini kila mara wanalia na MAN U Man U kwani kombe limewekwa kwa ajili ya MAN U? Na pili kuna mpira ambao unaongozwa bila taratibu husika kuduatwa tena kwa umakini wa hali ya juu na ukizingatia na ni UINGEREZa yaani watu hawaoni aibu wanasema na kuzungumza hata kama ni ujinga wanazungumza tu na je timu gaani kila mara iwe inapendelewa yenyewe bila fifa kusema na hata nchi tofauti tofauti zinazoangalia mpira wasilalamike sisi Tanzania tunalalamika kila kukicha
ReplyDeleteKinachoshangaza sisi watanzania kila siku nchi yetu ina amanai na muda wa kutosha wa kujiandaa na mashindano mbali mbali lakini hatufanyi vizuri, hilo hatulioni tunalumbana na mpira wa nje na je wenzetu wazaire na wakenya kila siku wanakimbizana kutokana na matatizo yanayowakabili je mbona wao wanazeza sisi tuna nini hamyaangalii hayo mnalumbana kwa kuwa baba wa jirani kaoa Mke mzuri kwa wewe hukuwaona waazuri mpaka ufanye vibaya? tuache unafki na ushabiki usio wa kweli na wa kisoka
Sasa wewe mdau unayetaka sababu kutoka kwa mdau wa kwanza nakupa hapa. Kwanza kama kweli hiyo penati ilistahiki refa angetoa red card lakini kwa sababu alijua siyo akaishia kutoa njano kwa kuelewa kuwa Liverpool wangekata rufaa na angeweza kuingia matatani. Pili Valencia alishikwa nje ya box refa anayejua kazi yake hawezi kusubiri hadi wafike ndani ya box. Mtu hawezi kukatwa buti mbaya refa unasubiri hadi atakapo anguka. Huyu refa anatakiwa kuondolewa kwenye list ya waamuzi.
ReplyDeleteNyinyi LIVERFFOOOOLLLSSS kueni wapenzi wa Soccer sio mnang'ang'ani kua na Ugonjwa wa Moyo.. Manutd lini aliogaiwa Pen 2 na Refferee?? au ndo munataka kusema ni CCM YA ENGLAND??
ReplyDeleteIvi nyinyi Hamukumbuki kama David Ngog ALI dIVE KAMA kwamba kuna Pool pale ANFIELD Alipopiga mbizi passipo na Chelleg wala Contact yoyote Kutoka kwa Lee Carsley?? Mbona hamulioni hili kwamba ile sio Penalty na Mulikua Tayari munakokota Mkia wa 2-1 bIRMINGHA?? Na Benitez alishadidia kua Ni Pen?? Uselesss...
Bear in Mind Gerrsrd Shud not Been Played against Manutd.. na inaonesha wazi Kua FA Wana Special Treatment On Gerrard.. maana kwanza alitoa V SIGN dhidi Ya WIIGAN na then Akampa Ngeta BROWN wa Pompey.. mbona yooy=te Hayo hamuytaoni!!
basi kaeni mukililia Nafasi ya 4.. NA i BET with U.. TOTTENHAM will Finish FOURTH EXCLUSSIVELY!!!