Rooney's 13th-minute header set United
on their way to a comfortable victory

David Beckham's return to Old Trafford was brief and ended in the disappointment of comprehensive defeat as Manchester United swept past AC Milan into the Champions League quarter-finals.

Beckham only made a 27-minute appearance as a substitute, and while he was deservedly given a rapturous reception on the ground where he was once idolised, he found himself overshadowed by Wayne Rooney's latest masterclass.

AC Milan's hopes of reaching the last eight were already extinguished by the time Beckham entered to a standing ovation with United leading 3-0 - and Rooney was the man responsible as he repeated his two-goal demolition of the Italians at the San Siro on home territory.

BBC Sport for more

CLICK HERE



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 14 mpaka sasa

  1. du vijana wa the GUNNERZ ni moto wa kuotea nbali goli la nasri limenikumbusha kipindi kile king henry alipowachambua mabeki wa liver kama hana akili nzuri na kukomelea msumari wa moto kwenye kidonda sio siri flavour za magoli kweli tulizimisi.ukiangalia timu za manu magoli yao hayana formula utafikiri wanapigiana penalty washabiki wa manu hawaoni vitu adimu dk 90 washabiki wa man wamekaa vitini utafikiri wamepigiliwa misumari hawanyanyuki ukiona wanashangilia ujue ni goli... kachumbali pilipili hoho chilisosi mabilinganya nyanya chungu mahanjumati vyoote hakuna magoli yao utafikiri NGUNA ya jela hakuna vikolombwezo ningekuwa mimi sishangilii... EPL hatupigi kelele tunafukuza mwizi kimyakimya!

    TH14

    ReplyDelete
  2. you know what is this!! katika msimu wa mara hii kombe linarudi traford. man utd 4 life

    ReplyDelete
  3. Ankal,naomba msaada tutani,kama kuna mdau yeyete anayelikumbuka vyema shiri lililoimbwa saana redio tanzania baada ya vita vya kagera ,nakumbuka baadhi ya beti na vituo.Idd Amini jasusi tena hili jaka kuu,limefanya uvamizi kuteka ardhi yetu,hatuna kazi nyingine lazima tutampiga ndipo litakapo jua Tanzania ni ya watu.Tafadhari sana niwekee hii nilipate tenahili shairi linanikumbusha mbali sana.

    ReplyDelete
  4. hallo ya ya sansirooooo uuwiii hakuna cha bekham wal becks ni kilio tu keleuuuuuwiiiii manuu dont feed me too much goli im vimbiwad!!!!!

    ReplyDelete
  5. Wewe Anyonymous wa kwanza haujijui ulipo unashangilia timu hali ya hewa leo mvua kesho jua wapi timu full stress(THT A.K.A Arsenal)najua mtachonga sana kuhusu Man u ila uzuri mnatujua vizuri ila ubishi ndo unaowatawala ila kazi yetu mnaiona magoal ni magoli tu haijalishi yana radha au hayana. ingekuwa mnachukua vikombe kwa magoli ya radha vingejaa kweli kwenye kabati ila ukweli nikwamba katika makabati yenu hamna kikombe hata kimoja huyo mfuta vumbi wenu mwenye mmemfukuza, Njoo traffod uone vikombe vilivyojaa hadi njia za chooni. tunaazima kabati jamani maana tunaona yenu hayana kazi

    ReplyDelete
  6. namuunga mkono anony wa kwanza, ili wewe wa Tarehe Thu Mar 11, 10:07:00 AM, Mtoa Maoni: Man u Fan inaelekea unasumbuliwa na fungus kwenye ubongo wako. kama timu imesacrifice kuchukua vikombe kwa miaka mitano and then ikahamisha nguvu zote na kujenga UWANJA kwa manufaa ya baadae sisi wasomi tunasema "WELL DONE" ila kama timu inakopa money ili iweze kuchukua vikombe tunabaki njia panda... sipati picha muda wa deni ukifikia ukomo itabidi waje TZ kuwakodi MAJEMBE MARTS waende wakasaidie kuifilisi. unakopa pesa unaenda kujenga heshima bar na kujisifia eti mimi nakunywa bia kumi kila siku itabidi nimuazime mfanyakazi wako aje kunisaidia kubeba chupa... PUMBAVU!

    ngoja nikunong'oneze usimwambie mtu; "mnadaiwa Pound 711ml"

    ReplyDelete
  7. Anony wa 11:13:00 yaani wewe ni boksi lililojaa pamba kabisa, wenzako wanaongelea soccer wewe unaleta habari ya madeni. Nani kabisha kuwa man utd haidaiwi ila pia nani kakuuliza!!!! (kila mtu analijua hili) na hakuna shabiki wa man utd anayefurahishwa na hilo (utakuwa umejionea jana mabango ya mashabiki "love utd hate glazer) ni kwasababu hatufurahishwi na alipoifikisha timu, ila kila shabiki anafurahishwa na maendeleo ya club uwanjani, u can c the impact. Fine, we r loaded with debts, ila arsenal u r clean but whnts the impact in ya shelfs then. Huo wehu, ndo maana hata mkaitwa chuo cha mafunzo, mnatengeneza watu then wanasepa.

    ReplyDelete
  8. kweli huyo jamaa kafulia akili, copletely out of point, sasa madeni na uwanja vya nini wakato watu wanaongelea performance uwanjani na achievements za uwanjani. Man u hawalembi, sio ngwasuma wale wa kuonyesha shoo tu halafu at the end of it empty handed. ni lini arsenal wamechukua kombe jamani?

    ReplyDelete
  9. U WILL NEVER WALK ALONE;
    NAOMBA KUPATA UFAFANUZI WA HIYA
    1.KIWANJA
    KATI YA MAN U NA ARSENAL NANI ANA UWANJA MKUBWA?
    2.CLUB TAJIRI DUNIANI TOP 3 NI ZPI?
    3.KABATI LA VIKOMBE LIPI CHAFU NA LIPI SAFI?

    NA UTATA UKO HAPA,ANAYODAIWA NI MAN U AU NI GLAIZER'S FAMILY NDIO WENYE MADENI WALIYOKOPA KUNUNULIA TIMU.?
    NI CLUB GANI DUNIANI AMBAYO HAINA MADENI?
    KUULIZA SIO UJINGA, ASANTEN

    ReplyDelete
  10. sasa wewe wa Tarehe Thu Mar 11, 11:13:00 AM, msomi gani hujui kuwa hakuna mtu anazaliwa na pesa ndo maana mabenki yapo ili wakope na warudishe na the more unachukua makombe ndo hapo unapopata mshiko zaidi na uache matusi, au nyinyi ndo wale mashabiki mliompiga yule jamaa kule Taifa nini?? take it easy man... duh! wewe ni fisadi wa 10%.

    ReplyDelete
  11. Kwa wale wadau wa Man U ni kwamba Glazer's family walipojitosa kuinunua Man U walitumia hela za mkopo kisha wakamanuva na kutumia klabu kama dhamana ya mkopo. "Vijana wa Kazi" wakipewa kazi hawatauza nyumba ya Glazers, watauza mali za klabu kama vile uwanja na kina Rooney na Nani.
    Klabu nyingi zina madeni. Shida ni kuwa ni madeni ya kawaida ya kuendesha biashara au ni madeni yanayotishia usalama. Man U wana madeni yanayotishia usalama (Liverpool ndio usiseme, mwakani wanamuuza Fernando Torres na Steven Gerrard kama wasipocheza Champs League). Kama Arsenal wana madeni ni madeni ya kawaida yasiyoleta homa.

    ReplyDelete
  12. glazzer's family ndio wenye deni wakati wanaichukua man utd club ilikuwa haina deni. hawa jamaa ni aina fulani ya marichimondi walikopa hela bank kununua timu halafu deni wakaliweka kwenye account ya man utd badala ya kuweka kwenye account zao binafsi/makampuni na bado pia wao wanaendelea kukopa hela hapo man u.
    Na ndio maana sasa hivi ukitaka kununua timu ni lazima uoneshe makaratasi yako ya bank, matapeli wengi mwingine ni mwarabu wa portsmouth

    ANTIGLAZZER

    ReplyDelete
  13. jamani tulishasema sema kuanzia sasa magoli yote yataitwa rooney...kwahiyo mechi ya juzi rooney alifunga rooneys 2 kati ya rooneys4 bila ya rooney ya ac milan

    ReplyDelete
  14. aah wapi madeni tuko radhi kuchanga hata dola moja moja dunia nzima ali maradi kabati linameremeta vikombest mengine yanafuga mende bin buibui he he heeeeee endeleeni kusakuwa niuz debe tupu haliachi kuvuma
    shost wa rooney

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...