

Picha na Tiganya Vincent- MAELEZO
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mawaziri kama hawa angalau mtu unaweza kuwafagilia, yaani ni mfano kidogo tu, au kiduchu tu,
ReplyDeleteLakini kama huyu wa Nishati ni bora ajiuzuru maana hii miumeme inayokatika kila mda ni kero sana ukichukulia tumeshailipia na bado wanaleta dharau, mi naona tuungane ili tupate umeme mbadala kama wa Solar na aina nyingine ya nishati mbadala baadala ya maji, na wizara ifutwe na Tanesco ifutwe maana ni kero hawajui wanacho kifanya zaidi ya kusubiri mwisho wa mwezi