Home
Unlabelled
pinda katika mkutano wa biashara na sindikizaji mazao ya kilimo abuja
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ndiyo mkuu wa Wilaya !
ReplyDeletewakati hali ya uchumi dunia inajaribu kutoka kwenye mshikitiko ulio anza mwaka mmoja na nusu idadi ya wenye nazo inazidi kuongezeka ! ama kweli maneno ya biblia yanakamilika """aliye nacho ataongezewa zaidi bali yule asiye nacho atanyanganywa hata kile kidogo"""""" NAOMBA WAWEKEE LINK WADAU WAANGALIA MAMBO YANAVYOKWENDA(http://www.forbes.com/lists/2010/10/billionaires-2010_The-Worlds-Billionaires_Rank.html )
Mdau wa Kanyigo!
Top Billionaire Cities.
ReplyDelete1.New York, N.Y.
Number of billionaires: 60
Wealthiest resident: Michael Bloomberg ($18 billion)
Other notable billionaires: Ralph Lauren, Carl Icahn, Rupert Murdoch, Donald Trump, Mortimer Zuckerman)
2.Moscow, Russia
Number of billionaires: 50
Wealthiest resident: Vladimir Lisin ($15.8 billion)
Other notable billionaires: Roman Abramovich, Alisher Usmanov, Oleg Deripaska )
No body could believe in the early of 80"s that Russia will be 2nd leading billionaires country in the world and this is not miracles but really fact may be is wind of change blow from east to west.....
Mdau wa Kanyigo!
Mimi ni mdau wa utamaduni (kielelezo cha bongo zinavyofanya kazi) wa afrika na utandawazi pia. Mavazi ni sehemu muhimu sana ya utamaduni. Nikiri kuwa hakuna kitu kinaconipa raha kila nikiona viongozi waandamizi wa Nigeria wanavyovalia suti ya kinigeria wawapo katika hafla za matawi ya juu kama Dr Goodluck Jonathan anavyoonekana hapo. Hii ni sehemu ndogo, lakini inaweza kukueleza kwa nini Nigeria ni mojawapo ya mataifa yaliyoendelea sana Afrika kusini mwa jangwa la Sahara. Tanzania tayari tunayo suti ya Tanzania lakini katika hafla kama hii JK angetinga kama waziri wake mkuu anavyoonekana hapo juu - suti ya ulaya. Kisa? Eti nasi tuonakane 'tumeendelea!!!" au "tusije tukachekwa!!" Hicho nacho ni kielelezo wazi kwa nini tupo mahali tulipo: "tunakwenda na wakati!!!!"
ReplyDeleteMdau thu Mar 11,05:00PM
ReplyDeletesuti ya kitanzania na suti ya kinigeria zinafananaje? Nimejitahidi kumwangalia Pinda na dr ila nimeshindwa kuzitofautisha ipi ni ipi??!!