Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Profesa John Nkoma (kulia) akifafanua jambo mbele ya Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya mawasiliano ya FreshWay Solutions, Bi. Veronica Hiza akiwa na Mkurugenzi mwenza David Hiza mara baada ya kukabidhiwa cheti chao cha mawasiliano
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Profesa John Nkoma akimkabidhi Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya mawasiliano ya FreshWay Solutions, Bi. Veronica Hiza cheti cha mawasiliano jana mchana akiwa ameambatana na Mkurugenzi mwenza Bw. David Hiza. Hafla hiyo imefanyika leo katika ya jengo jipya la Makao makuu ya Mamlaka hiyo barabara ya Sam Nujoma road jijini Dar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Wewe michuzi unajua mimi nimekuwa najiuliza siku nyingi sana kwanini jina la 'Muhidini Issa Michuzi' hulitumiiiiiii? Jina la wakati wa Kingo, na jamaa mwenye mdomo mkuba na masikia makubwa alikuwa ananitwa NIPASHEEEE!

    Mdau wa Fiber

    ReplyDelete
  2. Msaka naona mashavu yamekutoka...bia kwa nyama eehh!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  3. Wow, Vero na Msaka! Hongereni sana kwa ujasiriamali!

    ReplyDelete
  4. wadau wa minnesota..hongereni!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...