Home
Unlabelled
ukerewe ni mvua mvua tu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hiyo si wanaita hasi... negative is hasi in swahili...
ReplyDeleteOle wako ankal kama umeenda na kafulanaz peke yake ukifikiri kwamba fukuto la bongo limetambaa mpaka UKe-rewe!
ReplyDeleteDu, kumbe wadhungu nao washea mwanvuli?
ReplyDeleteMbona Hatuongelei ukame na njaa ya kweli ndugu zetu wa Ukerewe walinayo baado ya mazao you kupatwa na ugionjwa mbaya?
ReplyDeleteankali...hapo ni oxford circus sio street.....ankali acha uoga..usibane hii...mbeba box wa kutumainiwa kutoka pande za barking hapa
ReplyDeleteAnkal Mbona HABARI ZA BONGO HUZITOI LILE ROLI LIMEUWA NA BASI MOJA LIMEPATA AJALI HUKU A-TOWN HUJATOA HABARI, NANI ANATAKA HIZO ZA BARIDI YA UKEREWE TUPE KWANZA ZA HUKU HOME NA INAITWA NYUZI JOTO 11 hasi (kutoa) si unakumbuka Hasi na Chanya
ReplyDelete