Home
Unlabelled
YANGA YAIFUMUA MORO UNITED 3-0
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Jamaa ni "mafundi" sana ktk ligi ya nyumbani, ikija timu kutoka nje hata kama ni ndogo ulimi nje. Ilikuja Libya, Lupopo na wengine yebo wakabanjuliwa. Kulikoni wanacheza nyumbani tu?
ReplyDeletehata kama mngeshinda magoli 100 nafasi ni hiyo hiyo ya pili. wenye kombe hao zimbabwe kuangalia ile ligi yetu ambayo yebo yebo hamuiwezi. nyie yebo yebo sumbukeni tu na mara manyema mara lipuli ngoja sisi tufanye majukum ya kimataifa
ReplyDeletemadega basi. Hatukutaki tena.
ReplyDeleteby mwanyika
Ankal, Simba imechukua ubingwa, hujaanika cha maana, leo Yanga imeshinda mechi isiyo na maana yoyote unaianika! Acha hizo! Hii ni wiki ya wana Simba, weka mambo hadharani ya ushindi wao
ReplyDelete