
CLICK HERE
NDIO HIVYO TENA - MAN U HAWAKUAMINI KUPATA USHINDI JANA KATIKA SEKUNDE ZA MWISHO DHIDI YA MAN CITY. HUYO JAMAA SI MNAMJUWA HAPO JUU - AKISHINDA INAKUWA HAPAKALIKI MTAANI. UNAAMBIWA KOPA KWA MTAJIRI MPATA ZAMANI USIKOPE KWA MTAJIRI MPATA LEO. HAO WALIOANZA KUCHUKUWA UBINGWA KWENYE 1990s tokea 1965 SI MNAWAJUWA INAKUWA KAMA LIMBUKENI.
- MDAU OMAN.
mdau wa oman,wewe ulioanza kuchukua ubingwa zamani na hawa walioanza kuuona ubingwa 90's mpaka sasa mna makombe ya ubingwa mara ngapi??jibu ni 18 wote,nyie mlioanza zamani na wa sasa,HUNA POINT TULIA,
ReplyDeleteur history we're the present and future,i mean MAN UTD
MICHUZI BANA NA HII COMMENT.
ingependeza zaidi kuona picha ya chealsea hapa yani manuu mnaichukia buure mnaionea gere lakini mjue tuu ndo timu bora tukifungwa kosaa tukishinda dongeee eboo tucheni tule vinono na debe tupu haliachi kuvuma endeleeni tushawazoea
ReplyDeleteahh hapa kaka umechemsha si aramba ni mchumu tena mmmmwaaaaaaa!
ReplyDeletetoba, jamaa wanakulana denda
ReplyDeleteha ha ha we mzee wa Omana tutakuajiri kwny marketing dept ya MU FC manake unatupigia debe kweli na kuongeza presha kwa mashabiki wa timu zingne wajue ubaya wa kikosi ha ha ha
ReplyDeleteThanx kwa hilo
Umoja ni nguvu
Man u Fan