Rais wa Poland Lech Kaczynski na mkewe enzi za uhai wao. Habari zinasema Rais huyu, mkewe na wengine zaidi ya 80 wamekufa leo katika ajali ya ndege wakati ilipokuwa inakaribia kutua katika uwanja wa ndege wa Smolensk Kaskazini ya Urusi.

MIMI NAPENDA KUUNGANA NA WATANZANIA WENZANGU WOOTE KUWAPA POLE WANANCHI WA POLAND KWA KUPOTEZEWA RAISI WAO PIA NA MKE WAKE NA PIA UONGOZI WOTE WA POLAND MAANA KARIBU WOOTE WAMEFARIKI NI PIGO KUBWA SANA KWA PAMOJA TUNAOMBA MUNGU AZILAZE MAHARI PEMA PEPONI ROHO ZA MAREHEMU HII APA NI KIPANDE CHA MAELEZO JUU YA AJARI HIYO ILIYO TOKEA LEO ALFAJIRI

PAMOJA TUNAENDELEZA LIBENEKE
MDAU
MALAYSIA


Soma habari kamili na chanzo


BOFYA HAPA








Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Poleni sana wapolish

    ReplyDelete
  2. Ingetokea bongo.. mshike mshike wake wa kugombea nafasi zilizoachwa wazi.. ingekuwa soo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...