MCHUNGAJI TUMAINI KALLAGHE, VIONGOZI NA WAUMINI WA IMANI MISSION CONGREGATION (LUTHERAN) WAKISHIRIKIANA NA CITE - READING WANACHUKUA NAFASI HII KUWAKARIBISHA WATU WOTE JUMAPILI TAREHE 25/04/2010 KWENYE IBADA ITAKAYOHUBIRIWA NA
EV. DANIEL KULOLA
KUTOKA TANZANIA
Wagonjwa na wenye shida mbali mbali wataombewa.
Mkaribishe na mwingine

IBADA ITAFANYIKA
ODD FELLOWS HALL
118b OXFORD ROAD
READING
RG1 7NQ

KUANZIA SAA 8.00 MCHANA (14.00PM)
“Kwa sababu ndivyo tulivyoamriwa na Bwana, …… Neno la Bwana likaenea katika nchi ile yote” Matendo:13:47 - 49

Ukishuka stesheni chukua basi nos: 16 or 15
kisha ushuke Waylene bus stop Oxford Road

For information:
mchungaji@stanneslutheranchurch.org

Mchungaji: Tel.07983087998/Aljanes Rwiza (Baba Ian)-
07900008211/ Davis Banduka 07908010344

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...