MCHUNGAJI TUMAINI KALLAGHE, VIONGOZI NA WAUMINI WA IMANI MISSION CONGREGATION (LUTHERAN) WAKISHIRIKIANA NA CITE - READING WANACHUKUA NAFASI HII KUWAKARIBISHA WATU WOTE JUMAPILI TAREHE 25/04/2010 KWENYE IBADA ITAKAYOHUBIRIWA NA EV. DANIEL KULOLA 
KUTOKA TANZANIA
Wagonjwa na wenye shida mbali mbali wataombewa.
Mkaribishe na mwingine
IBADA ITAFANYIKA
ODD FELLOWS HALL
118b OXFORD ROAD
READING
RG1 7NQ
KUANZIA SAA 8.00 MCHANA (14.00PM)
“Kwa sababu ndivyo tulivyoamriwa na Bwana, …… Neno la Bwana likaenea katika nchi ile yote” Matendo:13:47 - 49
Ukishuka stesheni chukua basi nos: 16 or 15
Wagonjwa na wenye shida mbali mbali wataombewa.
Mkaribishe na mwingine
IBADA ITAFANYIKA
ODD FELLOWS HALL
118b OXFORD ROAD
READING
RG1 7NQ
KUANZIA SAA 8.00 MCHANA (14.00PM)
“Kwa sababu ndivyo tulivyoamriwa na Bwana, …… Neno la Bwana likaenea katika nchi ile yote” Matendo:13:47 - 49
Ukishuka stesheni chukua basi nos: 16 or 15
kisha ushuke Waylene bus stop Oxford Road
For information:
For information:
mchungaji@stanneslutheranchurch.org
Mchungaji: Tel.07983087998/Aljanes Rwiza (Baba Ian)-
Mchungaji: Tel.07983087998/Aljanes Rwiza (Baba Ian)-
07900008211/ Davis Banduka 07908010344


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...