Jumuiya ya Watanzania Reading, inasikitika kuwantangazia kifo cha Mama Mzazi wa Mariam Farrah wa Reading kilichotokea huko Tanzania 09/04.2010. Kama desturi fikisha mchango wako kwa viongozi wa Jumuiya ya Watanzania Reading ili aweze kuwahi mazishi na pia jitahidi kufika kwa mfiwa ili tumpatie faraja ya pekee.
Mahali :16 Bedford Court
Laud Close
Reading
RG1 6RE
Simu:07810034374,00787612862,
07799212095
(Jumuiya ya Watanzania Reading)
Jumuiya Ya Watanzania Reading-UK
www.tanzaniaassociation-reading.blogspot.com
Mahali :16 Bedford Court
Laud Close
Reading
RG1 6RE
Simu:07810034374,00787612862,
07799212095
(Jumuiya ya Watanzania Reading)
Jumuiya Ya Watanzania Reading-UK
www.tanzaniaassociation-reading.blogspot.com
R.I.P mama na poleni sana wafiwa.
ReplyDeleteHuyu ni Mariam aliyesoma Forodhani P/s miaka ya late 80's?
Mariam,Umudi,mansour,sarah,baby,wajukuu ..na wengineo..Poleni sana na tupo pamoja ktk kipindi hiki cha majonzi.R.I.P Mama mami..Shukrani Ondo Z.
ReplyDeleteRIP mama. Pole Mariam
ReplyDeleteStella