Wasanii mbambali wanaoshiriki kinyang'anyiro cha tuzo za Kili Music Awardsa wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumaliza kwa semina hiyo.
Home
Unlabelled
semina ya mwisho kwa washiriki wa kili music award 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hongera kwa AY kwa maendeleo unayoyapata. Inasikitisha sana kuona vilabu vya Simba na Yanga vikishindwa ama kukataa kuendesha vilabu vyao kibiashara ili kuweza kujitegemea. Anatoyafanya AY ndio ulikuwa mkakati wa wadhamini waliokuwa wakiidhamini Simba METL,NBC na Tanga Cement kuweza kutoa bidhaa kamaambazo AY anatoa bages,Tshirts ,jezi,kanga.key holders nk .Lakini wapi ikawa ndoto na wadhamini wakaamua kuachana na Simba, Inasikitisha wachache waliopinga azma hii nzuri.
ReplyDelete