===============================
Serikali yawapongeza wawekezaji binafsi pamoja na wadau wa utalii Karatu Arusha kwa kuunga mkono jitihada za serikali za kupambana na kuendeleza harakati za kutokomeza Malaria kwa kudhamini mashindano maalumu ya riadha ya kilometa 21 yaliyofanyika Ngorongoro maalum kwa kuhamasisha jamii nchini kote kusema Malaria Haikubaliki kupitia michezo
akihutubia wananchi Wazizri kiongozo wa Serikali ya mapimduzi ya Zanzibar Mh Shamsi vuai Nahodha alisema " ninaomba niwashukuru na niwapongeze Tigo, Pepsi, Exim Bank, Zara Tours na wengine wote kwa uamuzi wenu wa kuunga mkono kampeni ya kuitokomeza malaria.
Najua wote tunafahamu mapema mwaka huu mheshimiwa raisi alizindua kampeni maalum ya Zinduka Malaria kaikubaliki" akiwa na dhamira ya kuagiza kuwa malaria itokomezwe
pia tufahamu Tanzania, mtu mmoja anakufa kwa malaria kila baada ya dakika 10 hivyo ninasababu ya kuwashukuru wadau, wadhamini na wanariadha wote kwa kushiriki katika mchezo huu wenye lengo la kuboresha Afya pamoja na kutoa elimu maalum jinsi ya kuitokomeza malaria
Pia ninaendelea kutoa wito nchi nzima tusiishie hapa, tufanye kama walivyofanya wenzetu wa karatu na wafadhili waendelee kuunga mkono jitihada hizo za wananchi.
Nae Ofisa Mauzo wa Kanda ya Kaskazini wa Tigo Joseph Mutalemwa alisema "Tigo Tanzani tumekuwa wadhami wakuu wa Tigo Ngorongoro Half Marathon (Race Against Malaria) kwa mfululizo wa miaka miwili sasa tukiwa na imani ya kwamba tunagusa sehemu mbili muhimu katika jamii ambazo ni muhimu kwa wateja wetu tunaowategemea
Kwanza kupitia udhamini huu tunahamasisha harakati za kutokomeza malaria ambayo yanaathari kubwa sana kwa kuoneza vifo vya wakina mama na watoto nchini pili tunaimarisha afya za washiriki wote wanaotoka sehemu mbalimbali nchini kushiriki mchezo huu.
Hivyo basi faida ya udhamini wetu kwenye Tigo Ngongoro Marathon kwa wananchi tunaowalenga ni kubwa sana na ndio maana tunaendelea kudhamini kila mwaka, ikiwa ni pamoja na kuweka mikakati ya kuendeleza mashindano kila mwaka yaendelee kuwa na matokea na muelekeo mzuri zaidi
kwa upande wake muwakilishi wa WellShare International ambao ndio waratibu wa NGORONGORO MARATHON Bi. Jolene Mullins alisema "NGORONGORO MARATHON was initiated by WellShare International (formerly Minnesota International Health Volunteers (MIHV)) in 2008. WellShare International is a US-based non-governmental organization (NGO) funded by the United States Agency for International Development (USAID) and working in collaboration with the Government of Tanzania's Ministry of Health and Social Welfare and the Karatu District Council.
Through the support of the Tanzania Olympic Committee, attendance has grown from the first half marathon in 2008, to more than 250 international marathoners from East Africa, Somalia and the United States in 2009. The course, from the gates of Ngorongoro Crater to the center of Karatu Town, not only highlights the malaria pandemic but also the beauty of the northern circuit.
The time is now to focus the world on the health and development of Tanzania and the marathon provides us with a unique opportunity to make a difference.
In 2010, WellShare International is proud to have a TIGO as our primary sponsor again and we welcome the support of local and national members of the private sector including the Ngorongoro Conservation Area Authority (NCAA), the Karatu District Council, Zara Tours/Highview Hotel, A to Z Textiles, Exim Bank, Bougainvillea Lodge, Jubilee Tyres, Karatu Quality Garage, Octagon Hotel and FAME Medical.
Be a part of Tanzania's future, join us to make a difference!
akihutubia wananchi Wazizri kiongozo wa Serikali ya mapimduzi ya Zanzibar Mh Shamsi vuai Nahodha alisema " ninaomba niwashukuru na niwapongeze Tigo, Pepsi, Exim Bank, Zara Tours na wengine wote kwa uamuzi wenu wa kuunga mkono kampeni ya kuitokomeza malaria.
Najua wote tunafahamu mapema mwaka huu mheshimiwa raisi alizindua kampeni maalum ya Zinduka Malaria kaikubaliki" akiwa na dhamira ya kuagiza kuwa malaria itokomezwe
pia tufahamu Tanzania, mtu mmoja anakufa kwa malaria kila baada ya dakika 10 hivyo ninasababu ya kuwashukuru wadau, wadhamini na wanariadha wote kwa kushiriki katika mchezo huu wenye lengo la kuboresha Afya pamoja na kutoa elimu maalum jinsi ya kuitokomeza malaria
Pia ninaendelea kutoa wito nchi nzima tusiishie hapa, tufanye kama walivyofanya wenzetu wa karatu na wafadhili waendelee kuunga mkono jitihada hizo za wananchi.
Nae Ofisa Mauzo wa Kanda ya Kaskazini wa Tigo Joseph Mutalemwa alisema "Tigo Tanzani tumekuwa wadhami wakuu wa Tigo Ngorongoro Half Marathon (Race Against Malaria) kwa mfululizo wa miaka miwili sasa tukiwa na imani ya kwamba tunagusa sehemu mbili muhimu katika jamii ambazo ni muhimu kwa wateja wetu tunaowategemea
Kwanza kupitia udhamini huu tunahamasisha harakati za kutokomeza malaria ambayo yanaathari kubwa sana kwa kuoneza vifo vya wakina mama na watoto nchini pili tunaimarisha afya za washiriki wote wanaotoka sehemu mbalimbali nchini kushiriki mchezo huu.
Hivyo basi faida ya udhamini wetu kwenye Tigo Ngongoro Marathon kwa wananchi tunaowalenga ni kubwa sana na ndio maana tunaendelea kudhamini kila mwaka, ikiwa ni pamoja na kuweka mikakati ya kuendeleza mashindano kila mwaka yaendelee kuwa na matokea na muelekeo mzuri zaidi
kwa upande wake muwakilishi wa WellShare International ambao ndio waratibu wa NGORONGORO MARATHON Bi. Jolene Mullins alisema "NGORONGORO MARATHON was initiated by WellShare International (formerly Minnesota International Health Volunteers (MIHV)) in 2008. WellShare International is a US-based non-governmental organization (NGO) funded by the United States Agency for International Development (USAID) and working in collaboration with the Government of Tanzania's Ministry of Health and Social Welfare and the Karatu District Council.
Through the support of the Tanzania Olympic Committee, attendance has grown from the first half marathon in 2008, to more than 250 international marathoners from East Africa, Somalia and the United States in 2009. The course, from the gates of Ngorongoro Crater to the center of Karatu Town, not only highlights the malaria pandemic but also the beauty of the northern circuit.
The time is now to focus the world on the health and development of Tanzania and the marathon provides us with a unique opportunity to make a difference.
In 2010, WellShare International is proud to have a TIGO as our primary sponsor again and we welcome the support of local and national members of the private sector including the Ngorongoro Conservation Area Authority (NCAA), the Karatu District Council, Zara Tours/Highview Hotel, A to Z Textiles, Exim Bank, Bougainvillea Lodge, Jubilee Tyres, Karatu Quality Garage, Octagon Hotel and FAME Medical.
Be a part of Tanzania's future, join us to make a difference!
Ankal,
ReplyDeleteIngesaidia zaidi kama ungeweka na muda waliotumia hawa washindi.Muda ni data nyeti katika mashindano, ankal mbona unakuwa kama sio mwanaspoti?
Asante kwa habari na hongereni washindi.
(US Blogger)