SIMBA WAMEONGEZA BAO DHIDI YA YANGA KWA GOLI SAFI ALILOFUNGA MUSSA HASSAN MGOSSI KATIKA DAKIKA YA 53 AMA DAKIKA KAMA 8 HIVI BAADA YA MAPUMZIKO.
HIVYO HIVI SASA SIMBA 2 NA YANGA 1
IKUMBUKWE MUSSA HASSAN MGOSI WA SIMBA NA MRISHO NGASSA WA YANGA WANACHUANA KUPATA ZAWADI YA MFUNGAJI BORA BAADA YA KUWA WAMEFUNGANA KWA MABAO 14-14 KILA MMOJA WAO KABLA YA GEMU HILI.
HIVYO HADI SASA MGOSI ANAONGOZA KWA BAO MOJA.
GOOAAAL!
TUKIWA MITAMBONI YANGA WANASAWAZISHA BAO SASA HIVI KUPITIA KWA GERRYSON TEGETE. HIVYO NGOMA NI 2-2 SASA....

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. mkuu gemu live hapa

    ReplyDelete
  2. Michuzi Thnaks for keeping us on our toes with the result. Tunasubiri picha za mechi. Mdau kutoka Ottawa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...