Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 25, 2010

    Hobo hizi bei zimepandaje? jon mashaka alikuwa wapi? Kwa waganga wa kienyeji nini?

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 25, 2010

    Duh Pound si mchezo iko juu.
    Mdau -Ukerewe!!!

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 25, 2010

    Halafu tunasikia hapa watu ohhh walio nje wanasaidia uchumi wa tanzania kwa kuleta pesa nyumbani. Shilingi imepanda kidogo tu hao watu wanaanza kulalamika.

    Daima wanataka iwe ukibadilisha pound iwe unapata pesa za madafy tele, ili wazazi waone wanaleta pesa nyingi, daima hawataki shilingi ipate nguvu, sasa huko ndio kusaidia tanzania au kusaidia wazazio waweze kuhimili maisha katika hali ngumu ya uchumi wa tanzania?

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 25, 2010

    Nimependa maelezo ya tatu! kula tano mdau!

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 25, 2010

    hivi kufikia december siitakuwa $1 2500/= kwa speed hii halafu mnatuambia tuhifadhi hela zetu benki za nyumbani, hata kama ni uzalendo siweki hela zangu bank za madafu

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 26, 2010

    Kutokana na mazoea ya nyuma, pound imeshuka.

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 26, 2010

    Hapa ughaibuni dola hupanda na kushuka thamani kutokana na nguvu za biashara za dunia, lakini utakuta bongo shilingi inashuka thamani tu, haipandi kabisa. Yaani, nilivyoondoka, ilikuwa mia tano tu, Duhh kasheshe.

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 26, 2010

    eboo!!
    biashara gani hii?jamani badilisheni ktk MABENKI

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...