Mratibu wa RBP Miss Dar Inter College Bw. Silas Michael akitangaza zawadi kwa washindi wa shindano hilo linalosubiriwa kwa hamu sana Alhamisi hii ukumbi wa Club Billicans jijini Dar.
Amesema mshindi wa kwanza atachukua zawadi ya pesa taslimu shilingi milioni moja na laki tano, mshindi wa pili atalamba milioni moja, wa tatu atabeba laki nne na wa tano atapata laki tatu.
washirki kuanzia wa sita hadi 15 atapewa laki mbili. Hii inakifanya kitongoji hiki kuwa na zsawadi nono kuliko vitongoji vyote, kwani zawadi kama hizo hutolewa kwenye ngazi inayofuata, yaani wilaya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 25, 2010

    Angalau huyo wa nne (4), kidogo anawatoa kimaso maso

    Wapi Sheer Illussion

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 25, 2010

    Michuzi nisaidie tafadhali. Naomba wadau wanifahamishe nani Tanzania anapata exemption katika kulipa ushuru/kodi na kwa kiasi kipi.

    kwa mfano, walimu kiasi fulani,
    wanafunzi kutoka ng'ambo ni kiasi kipi
    wafanyakazi wa kimataifa...
    wafanyakazi nyumbani...
    Professionals na waandishi wa habari wanaosafiri kikazi kwa muda mfupi n.k....
    Wabeba mabox...

    Je exemption hii inalenga magari tu au hata makontena yenye vifaa mbali mbali?
    Utaratibu wa kupata exemption kwenye ushuru ukoje Tanzania?

    Asante.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 25, 2010

    Walau kaka Michu ungenipostiya hilo swali langu kivyake sina email yako ndo maana nimeituma kiivyo. tusaidiane nahitaji majibu ya kuongezea pepa moja hivi

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 26, 2010

    wanaume wengine bwana???

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...