Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha wageni muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi amabapo leo atahutubia Bunge la Afrika Mashariki. Aliyesimama Pembeni ya Rais ni Makamu wa Rais wa Kenya Kalonzo Musyoka. Picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu
Home
Unlabelled
JK kuhutubia bunge la Afrika Mashariki leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
mr. president tunakuongezea muda wa miaka 4 lakini baada ya hapo hiyo peni wape vijana wa bulogu ya michuzi wakiongozwa na Nabii nanihii wa wolstriti,Kanumba wema sepetu na hasheem wa D-League
ReplyDelete