video ya Sean Kingston alipoongea na wanahabari leo hoteli ya Hilton jijini Dar

Most read Swahili blog on earth
video ya Sean Kingston alipoongea na wanahabari leo hoteli ya Hilton jijini Dar
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
ankal nimependa mwamvuli wako..
ReplyDeleteankal ukipata nafasi tena ya kuonana na sean tena mwambie afanye mazoezi..
BP inamnyemelea
Kijana mdogo kabisa lakini laaaah! Kazi ipo...........zoezi linahitajika hapa kukata mafuta hayo. Well, wazalendo wanasema ilimradi mkono unaingia kinywani.....ila afya muhimu kwanza.
ReplyDelete......WEWE BWANA KAVISHE WEWE, KWA NINI UNAONGEA KISWAHILI??, JAMAA ATATUELEWA VIPI WABONGO??....INABIDI MFUATE MFANO WA KUSAGA, NAKUMBUKA ALIPOKUJA SHAGGY AU 50CENT, JAMAA ALIKUWA ANAPANDA UMOMBO KAMA KAWA....
ReplyDeleteankal na yeye hakuwa nyuma.
ReplyDeleteDuh, yaani jamaa kaona bodyguard ndio jumlishatoa, supa staa wa bongo kajimulika kweli kweli.
ReplyDeleteUmbeya sasa, mtaanza ooh Kavishe hajui kidhungu, lakini mmeniudhisana kuninyima Invitation nyie sababu zenu wakti niko kwnye music industry.
ReplyDeleteBongo kweli kila kitu dili, huyu naye kapiga na body guary huku akiamini a bodyguard naye ni a celebrity .
aloo ww anony hapo juu unaonyesha ni ginsi gani ww ni adui wa lugha yako na mshamba maana ww waona aibu kushusha kimatumbwi.shame on you hata kama upo jpn au swdn au dnk au holland lazima watumie lugha yao asili maana jamaa mgeni afu kaletwa na wenyeji na atagalamiwa kila kitu na wenyeji wake.weee nenda huko na ushamba wako huo mtumwa wa mawazo.africa kwa wa africa tu ukija africa lazima ufuate masharti
ReplyDeleteDuh nilikua sijui kama kuna bado watu wanaona aibu kuongea lugha yao nyumbani kwao. wewe unadhani raisi wa urusi hajui kiingereza kwanini huwa anaongea kirusi akiwa na kina obama na brown? Ndiyo maana kuna wafasili ndiyo ulaji wao huo. Kiswahili ni moja kati ya Lugha 4 kubwa africa hivyo usione aibu kwa huyu mangi kutumia kiswahili.
ReplyDeleteyaani nimecheka leo kaka mithu, nivyosikiliza hiyo video, mimi ni mchagga lakini du, "FITAFINIO" KARIBUNI SANA,
ReplyDeletemmmmh jamani we mdau hao juu acha mbwembwe hakusema fitafinio alisema vitafunwa karibuni sana!
ReplyDeleteEti nini? Fitafinio????
ReplyDeletekuna vitafunwa kidogo,kweli kiswahili kigumu.
ReplyDelete