






Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kwamba kutoka na mito ya shingo mpaka nje ni Style, Ubrazamen au Ushamba, Hebu nisaidieni, maana huyu jamaa namlinganisha na wale wanaotembea na blue tooth peace kwenye masikio yao hata kama hawaongie na simu!!!!
ReplyDeleteMTAJIJU!!!!
Mi naona BP tu kwa huyu kijana. aonyeshe mfano mzuri kwa watu wa huko, kwa kuanza zoezi kali. Jamaa bado mdogo sana huyu.
ReplyDeleteNimezoea kuona Joseph kusaga ndio anawaleta wanamuziki ila haya tena naona na watu wengine wa bia nao wanajitahidi.
ReplyDeleteWakina dada msijirushe tu kwa huyu jamaa wanamuziki huwa hawana mpango. Mtaachwa salenda (kama bado ipo).
WATANZANIA TUMEROGWA! TUNAPENDA SANA BURUDANI NA STAREHE KULIKO UZALISHAJI MALI NA SHGHULI ZA MAENDELEO. KILA SIKU TUNASIKIA MATANGAZO YA MATAMASHA, MASHEREHE, UTOAJI TUZO, WANAMUZIKI WA NJE KUALIKWA...SIO KWA WAJASIRIAMALI,WASOMI AU WANASAYANSI WAGUNDUZI, MADAKTARI BINGWA N.K..BALI KWA WANAMUZIKI, WANAMICHEZO, WASANII NA VITU KAMA HIVYO. VIPI UWEKEZAJI HUU WA MAKAMPUNI KAMA HAYA UNGELENGA ZAIDI HUDUMA ZA JAMII, ELIMU, AFYA, SEKTA ZA KIUCHUMI KAMA KILIMO, VIWANDA, BIASHARA..PIGA HESABU FEDHA UNAZOTUMIA KUNYWA POMBE, KUJIRUSHA KWENYE KUMBI ZA STAREHE KILA W/END NA SIKUKUU, KUCHANGIA MASHEREHE KAMA HARUSI MPAKA KITCHEN PARTY, IMAGINE HELA HIYO UNGEWEKEZA AU KU-SAVE, UKAJIONGEZEA ELIMU, UKAFUNGUA BIASHARA N.K NA KILA MTZ ANGEKUWA NA MTAZAMO HUO!
ReplyDeletemh
ReplyDeleteannon 8:49am,,,izo ni akili za mtu binafsi na mtazamo wake.watu tumejisahau sana na izi starehe kila kukicha shindano sijui la suruali la nchi gani!!
ReplyDeletekheee muwe na kiasi mjiendeleze wandugu na jamaa zenu kule vijijini
uwa sielewi kabisa hii tabia "mpya"
cheki huyo baunsa upande wa kulia, ndio mkubwa kuliko mabaunsa wote tanzania lakini kwa sean kingston yuko kama piriton, kazi kubeba minondo bila msosi...tehetehetehe
ReplyDeletetehe tehe tehhe uwiiiiii, jamani mbavu zanguuu zinauma kwa kucheka, BAUNSA KAMA PIRITON !!! yaani raha kweli humu MICHUZI , tunasahau matatizo kwa muda tukiingia humu....na pia nimecheka huyo mwanamuziki alivokuwa kibopa ( mnene ) jamani afanye mazoezi atapendeza zaidi
ReplyDeleteha ha ha,maoni mbavu sina,eti kama Piriton,huyo ndo baunsa wetu jamani mwacheni,
ReplyDeleteNa hao warembo ndo wazuri kweli ha ha,Hapa kwetu mtu lazima ajichubue au poda mpaka ukuchani,ndo awe mzuri,Stay Black Stay Beauty,Wenzenu Ulaya wanapambana na Solarium,watu wanataka kuwa wabrown,watazame masuper starz wa Bongo-walipoanza sanaa walikua weusi tii na wazuri sasa mpaka wanatia kinyaa,
Uwelewa wa jambo ni kitu bora katika maisha ya kila siku ya mwanadamu,hakuna mtu yoyote hapa duniani asiye penda starehe.unafanya starehe wanasave hela zao kwa maendeleo yao.Pia wameenda shule vilevile na maisha ya mtu hayapangwi na mtu mwingine.TBL big sana katika tamasha lenu.
ReplyDeletehahahaaa mbavuuuuuu zangu
ReplyDelete