wakitoa burudani kwenye sherehe za siku ya Afrika usiku wa kuamkia leo jijini London
Mheshimiwa Balozi Mwanaidi Maajar akiwa na Naibu Waziri Mambo ya Nje anayeshughulikia mambo ya Afrika na ambaye ni Mbunge kutoka Chama cha Conservative Mheshimiwa Henry Bellingham pamoja na wageni wengine.
Baadhi ya Viongozi, Maofisa wa Ubalozi na Wageni waalikwa kwenye Sherehe za Siku ya Afrika, hapa London.
Baadhi ya Viongozi, Maofisa wa Ubalozi na Wageni waalikwa kwenye Sherehe za Siku ya Afrika, hapa London.
Waswaili husemaaa: MFA MAJI: HAISHI KUTAPATAPA
ReplyDeleteAnayetaka FRONTING: Ruksaa
Anayetaka ................... :Ruksaaa
Anayetaka ................... :Ruksaaa
Ruksaaaaa
Ruksaaaaa
Ruksaaaaa
Te he te he te he
ReplyDeleteusiku wa afrika ngoma ya kimatumbi ipo wapi mbona tunaona bendera tu inapepea na ngoma ya ki ethiopia tu imetawala
ReplyDeletemdau sweden
katika hizi picha imenifurahisha ya Mr & Mrs Kiondo mmependeza, mama umetoka safi kwenye vazi la kiafrika
ReplyDeletejirani Aeroflot