Mkurugenzi wa Twanga Pepeta Da' Asha Baraka akiongea usiku wa kuamkia leo ukumbi wa Mzalendo Pub jijini Dar wakati wa mnuso maalumu ulioandaliwa na bendi hiyo kusherehekea ushindi wa tuzo za kili music awards ambapo African stars ilinyakua tuzo ya Bendi Bora, Albamu Bora na Rapa Bora. Shoto ni mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya sherehe hizo Papaa Muddy Bawaziri
Mjomba naye alikuwepo shereheni na tuzo yake. alipanda jukwaani kughani pia
Da' Asha akimkabidhi Charz Baba mshiko Albamu bora ya Mwaka ya laki 5 ya Kili awards ambao wanamuziki watashea
Da' Asha Baraka akiwa na kiongozi wa Twanga Pepeta Lwiza Mbuttu baada ya kumkabidhi mshiko wa Bendi bora wa laki 7 ambao pia wanamuziki watashea
Mtu mzima Abou Semhando 'Baba Diana' akikaanga chipsi
shoo kali iliporomoshwa na Twanga Pepeta
Palikuwa hapatoshi
meza ya maseneta wa Twanga
Da' Asha akisalimiana na Ankal Daudi wa Break Point ya mjini akiwa na Mdau wa mji wa Kusoma Gardol anayeendesha Break Point ya Ukerewe ya Vincent Restaurant ya Reading
Da' Asha na Amigoras akiwa na baadhi ya maseneta. Chini kulia ni Papaa Kipukuswa akifuatiwa na Charles cXc na mdau
Da' Asha akiwa na baadhi ya mastaa. toka shoto ni Adam Sabu jnr,
steve kanumba the greatest, Didah na Ray

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 26, 2010

    Gado mzee wa kula bata.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 26, 2010

    Ray na Kanumba punguzeni mabia mnazeeka sasa hivi!!!!!! haya mi nawapenda ndio maana nawaambia ukweli

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 27, 2010

    wanawake watano!
    mmependeza

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...