
Cheki kumeremeta kwao hivi majuzi kulivyonoga:
Mambo mengine ya Makulilo jr.
bofya katika linki hizo chini:
http://www.facebook.com/album.php?aid=431040&id=623205200&l=2688b56a6b
www.makulilo.blogspot.com
www.scholarshipnetwork.ning.com
bofya katika linki hizo chini:
http://www.facebook.com/album.php?aid=431040&id=623205200&l=2688b56a6b
www.makulilo.blogspot.com
www.scholarshipnetwork.ning.com
mhh huyo wife :)
ReplyDeleteDu!kaaazi kweli kweli! kaka zetu nanyi!
ReplyDeleteWow! huyo ni bonge la fashionista! Anajua kuvunja kabati!
ReplyDeletePongezi kwako Kaka Makuliko kwa hatua upigazo.
ReplyDeleteBaraka kwako Kaka
mradi karatasi likae sawa! mengine baadae.
ReplyDeletemi sidhani kama huyu dada kaolewa sababu ya karatasi, anaonyesha anaupendo kabisa. Kaka makulilo sasa hizo nywele si ukate? ona obama alivyo hata jk ananywele fupi wewe bado afro jamani, unatuangusha uko fresh, msomi wa nguvu hebu fanya mambo mengine basi.
ReplyDeleteNB: kamichu umerudi lini toka germany? gari ulileta lile? au ilikuwa mikogo tu?
Karibu wifi yetu.
ReplyDeletedu mambo ya makaratasi hayo....
ReplyDeletemzee wa nondozz anaonekana kama yuko kwenye 40's wakati ndo kwanza 29 hizo nywele na masharubu zinamfanya aonekane oldiiiii kaka badili muonekano
ReplyDeleteWa kale waliimba "wifi karibu nyumbani, wifi yetu wa gharama ........" wao mama waoooooo
ReplyDeleteheeee ana miaka 29?mweee
ReplyDeletekaribu wifi letu bongo jisikie nyumbani kabisa
Makulilo,
ReplyDeleteKijijini kwenu watakukoma!
Watu hawanywi maji!
Umeoa Mzungu?
Wabongo kweli kazi tunayo.
Karibu mjomba makulilo,bado ndugu zako tunakusubili kambini mtabila hapa,bora wewe umekuja na karatasi.
ReplyDeleteHuyu Jamaa nina uhakika Makaratasi yake yamenyooka. Wenye matattizo na makaratasi hawaji nyumbani maana wazamizi. Hivi hamjiulizi kwa nini ndugu zetu walio huko US hawaji nyumbani hata mara moja bnaada ya miaka 4.?Wai? Kwanini?...simpo uzamizi. Huyu mzee wa Afro nina uhakika makaratasi yake yako OK 100%.
ReplyDeleteWATU WENGINE BWANA, KWANI SHAPE YA MKE WA MTU INAKUHUSU NINI? PILI ILIYOSHAMBANI YAKUWASHA NINI?
ReplyDeleteNYAMA YA NG'OMBE NI ILE ILE HATA UENDE BUCHA NGAPI UTAULIZA TU NATAKATA NYAMA YA NG'OMBE.
UTAMU WA PIPI MATE YAKO.
RAHA YA NGOMA ANAIJUA MCHEZAJI MWENYEWE.
mi hata swali sina, ila tu naomba hii ndoa idumu, na ibilisi wa divorce na ashindweeeee, manake hapo kaka una hatari hata kama ukikorofisha wewe unapigwa kadi ya njano toka upande wa pili, umelikoroga mwenyewe na ulinyweee.
ReplyDelete