Familia ya Bakari Mweri Tajiri ya Mwananyamala, Dar es salaam, Inatoa shukrani za dhati kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki wote kwa kushirikiana nasi katika kipindi kigumu cha msiba uliotokea tarehe 12.05.2010 ghafla Mwananyamala wa Mpendwa wetu Jahiya Bakari Mweri.
Kwa kuwa sio rahisi kumshukuru kila mmoja peke yake, tunaomba mzipokee shukrani zetu kwa namna ya pekee na Mwenyezi Mungu awajaalie kila la kheri kwa upendo wenu.
Tunapenda kuwakaribisha kwenye Kisomo (Arobaini) inayotarajiwa kufanyika tarehe 19.06.2010 nyumbani kwa Mzee Bakari Mweri Mwananyamala kuanzia saa 6:00 Mchana.
Tunapenda kuwakaribisha kwenye Kisomo (Arobaini) inayotarajiwa kufanyika tarehe 19.06.2010 nyumbani kwa Mzee Bakari Mweri Mwananyamala kuanzia saa 6:00 Mchana.
Tunatanguliza shukrani zetu za dhati
Wana Familia ya Mweri
Wana Familia ya Mweri
Mawasiliano:
(i) Madaraka Mweri (0655300892)
(ii) Mwanahamisi Mweri (0754285332)
(iii) Habibu Mweri (0713222671)
(iv) Saumu Mweri (0712337494)
(i) Madaraka Mweri (0655300892)
(ii) Mwanahamisi Mweri (0754285332)
(iii) Habibu Mweri (0713222671)
(iv) Saumu Mweri (0712337494)
Jahiya tulimpenda sana ila Mungu pia alimpenda ,let her soul RIP
ReplyDeletePoleni sana wafiwa na Mwenyezi Mungu azidi kuwatia nguvu kwani nasi huko ndiko tunako elekea.R.I.P
ReplyDeletePole sana rafiki yangu Habibu Mweri,mwenyezi mungu awape nguvu wakati huu.
ReplyDeleteMikah Kinondoni
Inalilah wa ina ilah rajiun!Poleni sana wafiwa,tulimpenda sana Jahiya lakini Allah alimpenda zaidi,tumuombee dada yetu kipenzi Jahiya katika safari yake yenye neema na isiyokuwa na adha yoyote,Alhamdulilah.Tunawapa pole sana sisi ukoo wa buzohera.
ReplyDelete