Balozi wa Tanzania nchini Afrika ya Kusini ,Mh. Radhia Msuya akiwahutubia wa Tanzania waishio nchini humo katika mnuso wa kumkaribisha rasmi
Mh. Radhia Msuya akiwa na Mtangazaji wa BBC,Ankal Charles Hilaly katika mnuso huo wa kumkaribisha Balozi wetu huyo Nchini Afrika ya Kusini iliyofanyika mjini Pretoria.
Baadhi ya Watanzania waishio Mjini Pretotia nchini Afrika ya Kusini wakiwa na furaha kwa kujumuika katika mnuso wa kumlaki Balozi mpya wa Tanzania nchini Afrika ya Kusini,Mh, Radhia Msuya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 09, 2010

    charles hilary anastahili kuwa balozi. kwani ubalozi hausomewi ni mtu kuwa na busara na charles ana exposure ya kutosha na ni mwenye busara hata ukimsikiliza unamuelewa kabisa.lakini nina uhakika ana furaha na hapo alipo. i am proud of you brother charles tangu enzi hizo za RTD

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 09, 2010

    Kumekucha huko si mchezo!!

    ReplyDelete
  3. i hope umekuja na Vuvuzela lako karibu sana

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 09, 2010

    ankal CHARLES HILARY nashukuru sana kwa kunipa maiki yako na kufanya intavyuu ambayo ilikuwa inarushwa hewani laivu juzi tulipokutana pale J'burg kwa kweli wewe ni muwakilishi mzuri hata watoto wa kisauzi uliowapa maiki walikufurahia mno.Mungu akubariki ankal charles.
    Ni mimi mdau ERNEST(tolu)aka NOVA.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 09, 2010

    Mhe Radhia Msuya ana jukumu kubwa la kuhakikisha kukaa kwake huko kunanufaisha Taifa kwa kukuza biashara na kupata wawekezaji imara. Mawasiliano na taasisi za hapa nchini ni muhimu.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 09, 2010

    mdau wa kwanza hapo umegusa swali langu kila siku nauliziaga huku kwa kaka michuzi ili atutangazie. Ni wapi hizo kazizinatangazwa na qualifications zake ni zipi. Mimi ningependa sana kufanya kazi hii...kama ni exposure mimi nimeishi nchi 12 kama utacounty my home county too....Nina elimu na work experiense katika public relationship kwa miaka mingi tu..

    Uncle hebu tuwekee post a kazi hizi zikitoka hata siye tugombee...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...