Home
Unlabelled
beatrice premsingh ndiye vodacom miss kanda ya kati
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kweli wahindi wanataka kumiliki kila kitu hapa Tanzania. Simmewaona kina Patel. Sasa kina Premsingh,Kwanza washajua watanzania ni vizibo ndo maana wanataka watuzidi kila pande.Juzi tu nimemwona JK akiwafungulia viwanja vya kuanzisha biashara Bagamoyo, hivyo viwanja vilikuwepo toka kuumbwa kwa dunia lakini tumesubiri vije vifunguliwe wahindi waanzishe biashara si ndomana wanatuona sisi Watanzania VIZIBO!!!!!!!!!!!!!!
ReplyDeletenaungana na wewe hapo juu, ndo maana watz hatusikiki popote!
ReplyDeleteNyini makaburu wa kwanza na wa pili wa hapo juu wacheni ubaguzi wenu. Ndiyo Beatrice ni mchanganyiko wa Mhindi na Mwafrika, lakini ni Mtanzania. Apartheid south afrika imekufa na kuzikwa, Hitler yuko motoni, sasa mbona mnataka kutupeleka kwenye siasa iliyoshindwa? Be real, hata USA wana Rais half-caste, itakujakuwa mambo ya u-miss? Chuki zenu zitawamaliza nyini losers!!!!
ReplyDeletembona mzee...
ReplyDelete