Naibu Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa Mhe. Dk. Asha-Rose Migiro akipokelewa na maofisa wa Ubaloziwa Tanzania Washington DC Bibi Lilly Munanka na Bw. Suleiman Saleh wakati alipotembelea ubalozi huo hivi karibuni.
Mhe. Dk. Migiro akiwa na Mhe. Balozi Ombeni Sefue na Bibi Lilly Munanka.Mhe. Dk. Salim Ahmed Salim Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Katibu Mkuu wa OAU akipokelewa Ubalozini Washington DC na Afisa wa Ubalozi Bw. Suleiman Saleh alipowasili Ubalozini hapo. Kushoto ni Bw. John Mdoe, Msaidizi wa Dr. Salim Dk. Salim akisaini kitabu cha wagenei Ubalozi Mh. Dk. Salim akiwa na Mhe.Balozi Ombeni Sefue.




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 16, 2010

    Hi kweli kabisa, maana hata mkaa unakua bei rahisi sasa kuliko gesi.

    Nazani watanzania tuchangie hii mada, sio kuchangia ishu za John Mashaka, ambazo zote ni theory tupu.

    Hii ni muhimu

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 16, 2010

    Dk. Salim Ahmed Salim akisalimiana na afisa ubalozi Bwana Suleiman Saleh, nyuma yao wabongo mwaona gari la USA poster services wanavyofikisha barua kila kona hataa nyumba iwe uchochoroni gari hiyo hufikisha barua hadi mlangoni pako. Mitaa ya manzese, shimo la udogo, vingunguti, keko nk tukisema tubomoe nyumba kupisha mitaa iliyoeleweka wakazi watakunyanyulia jambia, tutafika?

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 17, 2010

    Maendeleo yana mtiritiko...huwezi kurukia maendeleo kama Watanzania ambao wanataka wawe na line 4 za mobile phones na kuendesha Mashangingi wakati hawana barabara...Mji haujapangwa, nyumba hazina mitaa wala namba halafu unategemea posta watafanya vipi delivery. Tatizo la pili ni kuwa hao posta wenyewe kule kule posta wanafungua parcels za watu, nani utakayempa hizo parcel mikononi akazunguke nazo halafu utegemee vijisenti tunaweka huko na picha zetu hawatazifungua? Na vujiatu vwa ndugu zetu na vujichupi vyote wanaiba....Maendeleo ni hatua...hapo baaaaadoooooo tuko mbali ndugu yangu....!! Although you made a fair analysis...oh well,...comment

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...