Home
Unlabelled
Mkutano wa Kuelimisha umma juu ya Mazingira na Umaskini wafanyika leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
mbona sioni maskini hata mmoja hapo. naona mkutano uliwakilishwa na watu wa mazingira tu....LOL
ReplyDeletehebu tuache kufundishana kuhusu kuondoa umaskini sasa na tufundishane kuhusu kuupata utajiri. umaskini tunao siku zote, makongamano,warsha, mikutano ya kuondoa umaskini kila siku na umaskini unazidi kukua tu.... hebu tugeuke upande wa pili wa umaskini nao,tufundishane jinsi ya kuuendea, kuufikia na kuupata utajiri...
ReplyDelete