Bi Kidude akizikunja baada ya kuudhiwa na wadau...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 16, 2010

    Bi Kidude kumbe msela namna iyo hehehehhe

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 16, 2010

    Picha hii imenifurahisha sana kwani Bibi Kidude amezikunja vizuri kama Professional kama mtu anayejua kupigana.
    Watu wengi ikiwa ni pamoja na wanaume huwa hawajui namna ya kuzikunja ngumi na kwa mkao wa kupigana. lakini Bibiye kapatia.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 17, 2010

    hapo alikuwa anazikunja amchape gea habibu mtangazaji wa radio ya watu clouds fm baada ya gea kumuuliza kuwa inasemekana enzi zake bi kidude alikuwa bingwa wa kutoka na waume za watu! lol bibi si ndo akamkunjia ngumi nahisi gea alikuwa anamtania bi kidude

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 17, 2010

    Bibi mswahili,hadi noma.....wajukuu mnakazi kweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeli.
    Mdau Mbije,A.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 17, 2010

    Bi Kidude msamehe ndio watoto wa siku hizi haooo!

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 17, 2010

    ningemtandika mbili tu wanafikiri mimi ni mzee nimezaliwa 1899 sio zamani hawa watoto wa siku hizi wana balaa(Bi kidude original)

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 17, 2010

    Comments zake ndo zilifurahisha zaidi. Awauliza kina dada wavaa suruali kama midume, je wanaume nao wakivaa gauni au sketi patakalika mjini? Aliwataka kuacha ushamba.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...