Habari kaka Michu,pole na hongera kwa kazi ya kuhabarisha jamii.Kaka naomba unitolee taarifa ya kupotelewa ndugu yetu pichani anaitwa Samira. Amepotea toka saa 7 Mchana wa leo .
Kwa yeyote atakae muona tafadhali
awasiliane nasi kwa namba hizi.
0713123643, 0784284510, 0714908291.
Ahsante.
0713123643, 0784284510, 0714908291.
Ahsante.
Mdau Asia
Sent from my BlackBerry® smartphone


Naomba comments zangu kwa sasa niziweke moyoni nisubiri akishapatikana!
ReplyDeletemdau istanbul
Kapotea toka saa 7 mchana mbona muda mchache meanza kumtafuta. Labda atakuwa kapata bwana huyo!! Kama yupo bongo wala hajapotea huyo.
ReplyDeleteMdau Asia, naona hapa ombi mbona halijakamilika? Saa 7 mchana, je mchana wa leo, kapotea au mmepoteana katika pilka-pilka za siku? Au Samira ni mgeni wa hapo ulipo, je uko wapi? Samira ana matatizo yeyote?
ReplyDeleteKumbuka jamii hapa inaombwa kuwa macho ikimuona ndugu yako itoe taarifa, hence unahitaji kutupa details zaidi kidogo...
lakini mbona anaonekana mkubwa huyo binti, atakuwa kapotea kweli au useme tu anahitajika nyumbani, kama hana matatizo ya akili, kutokurudi nyumbani ni maamuzi pia. sijui kwenu.
ReplyDeleteI DON'T KNOW HOW U GUYS SEE THIS TO ME IS PUBLICITY, AM SORRY TO SAY WEE ANONY WA KWANZA ULICHOOGOPA KUKISEMA NSHAKURAHISISHIA KAZI MALIZIA.
ReplyDeleteI think it required 24hrs b4 you report someone is missing......but hopefully u'll get her.
ReplyDeleteMdau Canada
Subiri atarudi saa moja usiku
ReplyDeleteMichuzi mbona Samira ni mtu mzima. Wakatoe taarifa polisi, mi nilidhani ana miaka 10 hajulikani alipo kama Da'Cherry. Hawa watu wanaleta mchezo sasa, je Asia umejaribu kuuliza Guest zote za Dar hayupo?.
ReplyDeleteNiko naye getto Kinondoni, msimhangaike kesho atarudi.
ReplyDeleteinawezekana dada anasumbuliwa na ugonjwa wa akili ndo maana katangazwa mapema.Wenzetu wenye disabilities hizi lazima wawe wanajulikana wapi walipo all of the time.
ReplyDeletedu! toto la nguvu macho yanaita. naomba awe salama huko alipo.
ReplyDeleteNimekumbuka kitendo alichofanyiwa mdogo wangu, kuna watu wanakuwa na dawa wanawachanganya akili na kuwaagiza wachukue vitu ndani, nahis ndiyo yaliyomkuta.. msiwe na wasi atakuwa salama ila mumuombee asikutwe na mabaya
ReplyDeleteKama alivyosema mdau wa nne, tunaomba details zaidi. Je ni hapa Daressalaam au mji mwingine? Saa 7 ya siku gani? etc. Nyinyi wachangiaji wa 1, 2, na 3 kama hamna mchano au msaada katika suala hili just shut up. Hiki ni kitu serious siyo kufanya kejeli zenu za chuki. Kumbukeni kuwa hata nyinyi siku moja makubwa zaidi ya hili yatawapata...I hope mtakumbuka hizi comments zenu hapa wakati mtakapokuwa mnajuta kuwakejeli watu waliofikwa na majaribu. Asia, I hope samira atapatikana. J. Laswai.
ReplyDeletedu! toto la nguvu naomba awe salama huko alipo.
ReplyDeletehalafu wewe ulieweka hili advert unaonekana na wewe akili zako kidogo hazijatulia kama huyo ndugu yako aliepotea sasa kwani ni lazima useme umetumia nini kutuma hilo tangazo et sent by my blackberry acha ushamba wako bwana na kuhusu huyo ndugu yako umeharakisha kuleta tangazo ungesubiri kwanza at least hata siku ipite ndio utoe tangazo au unatake pisi cos kwa michu mnaweka matangazo yenu bule
ReplyDeletemtu huwa anaripotiwa kapotea AFTER 24 HRS....hivyo mlipaswa kuanza kumtafuta/kuripoti saa 7 mchana leo[sasa hivi ni saa nane usiku].
ReplyDeletenaomba akipatikana nijulishwe.
ReplyDeleteHeshima Kitu cha bure,,kama hamjui yaliyomsibu msimseme vibaya..kwani mnajua yaliyomkuta mpaka kapotea?????
ReplyDeleteTafakari kama angekuwa ndugu yako...
Mnajiita wadau wa blogu ya jamii,hivi mnaishi katika jamii gani ya watu..???
Kueni na ubinadamu,kuna mtu kapenda apotee...
Badilikeni jamani watanzania.mtakuwa hivi mpaka lini,,nahuyo aneyesema yuko naye guest heshima gani hiyo unayoesha katika jamii...Wallah kama hujui Kitu usiseme chochote...Hatuchekeshi umati tunamtafuta ndugu yetu...Ni hayo tu..
Ni mimi kaka Yake..
HESHIMA KITU CHA BURE...
Nimependa wametuonesha kuwa ujumbe ulitumwa na Blackberry phone. Mambo yapo juu. Labda na huyu dada kaenda kutafuta njia zake ya kuipata hiyo simu aweze kuwasiliana na nduguyo kuwa yupo salama wa afya.
ReplyDeleteAnkal, vipi tena?!
ReplyDeleteHuyu Samira kipindi fulani alikuwa anaigiza Channel 10?
ReplyDeleteIla kutangaza kama mtu kapotea ni mpaka saa 24 zipite.
Huyu jamaa aliye eweka hipost kweli upo smart ndomana anatumia smartphone. salamu kwa aliyekuwa naye huyo dada!!
ReplyDeleteMBONA HUYU SI MTU WA KUPOTEA!! ALIVYO KODOA MACHO YAKE TU ANAONEKANA MJANJA SI WAKUPOTEA JIJINI. HITAKUWA NI MCHEZO WAKE WA KWENDA KULALA KWA BUZI ANATOROKA USIKU SASA LEO KACHELEWA KURUDI ADI KUME PAMBAZUKA AONEKANI KWAO !!
ReplyDeleteDa Asia kweli tangazo halijakamilika hivyo ungetoa maelezo zaidi. Naamini labda kwakuwa umeshikwa na fadhaa hivyo hukuandika vyema basi tunaomba utupe maelezo kamili.
ReplyDeleteKwa nyie wachangiaji, hivi upendo unaenda wapi? Je ni ngumu kukaa kimya au kuomba maelezo zaidi? Eti katumia blackberry wewe ndio umenishangaza zaidi kwani kama mtu akitumia blackberry inaandika mojakwamoja (automatically) na si kwamba asia ameandika hivyo. Kweli mtu ambaye kachanganyikiwa na kupotea kwa ndugu yake atakumbuka kujisifu kutumia blackberry? Kwani blackberry ni nini? Itamsaidia? Hapana, tuweni na huruma na mapendo. Ukiona ni jazba sana basi kaa kimya yeye akiona hakuna koment basi atarekebisha lakini kila akifungua kupata chochote anakutana na tusi, akifungua tusi, ataendelea? Michuzi chujeni jamani vitu vinavyoandikwa humu vinachochea tabia mbaya.
Mdau
mdau uliye tuma tangazo umekosea kwani tangazo halijakamilika kwa vitu vingi tuu!La pili huyu aliyejiita kakaake ndo mwenda wazimu kabisaa maana baada ya kutoa information kamili za kupotea kwa mdogo mmtu yeye anabishana.Na mwisho mbona huyo msichana anaonekana mkubwa?au anamatatizoo?
ReplyDeleteJamani msisumbuke kumtafuta nimemkuta kinondoni kwenye nyumba ya jamaa akikuna nazi naona alikuwa anaandaa maakuli
ReplyDeleteMi naona ASIA ndiyo aliyepotea.comment sent by iphone
ReplyDeleteKwa wanao comment nonsense inaonyesha kabisa level yako ya elimu uliyofikia.. Mnamsema dada wa watu kama vile mnamjua, dunia imekua mbaya pple should not take things for granted.kama ndugu yao kapotea lazima wapate wasiwasi na kumtafuta. Ingiwa mtu mzima ki sheria anahesabika kutafutwa kama hajaonekana for 24hours. na si kawaida yake....
ReplyDeleteAnyways mi naomba apatikane salama. Na kwa walio-comment upuuzi..mjifunze na kujirekebisha! huo si uanadamu hata kidogo. and about Asia kutuma na smartphone yake inategemea, maybe ameandika au ni settings za hiyo simu. you never know..kuweni wabinadamu kidogo angalau mtu akiwa na shida.
Ahsante.
Mdau kutoka,
USA-Wichita Kansas..