Home
Unlabelled
Watanzania Roma na Wasauzi wajumuika kuishangilia Bafana Bafana
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hivi tanzania imo kwenye kombe la dunia 2010?
ReplyDeleteIwepo isiwepo,kombe la dunia la mwaka huu ni la Africa nzima...Don't hate..Lazima tufurahie nchi zetu za africa.kombe likibakia africa fifa itaongeza timu shiriki kwenye kombe la dunia lijalo na Tanzania inaweza kuwa na chance who knows.
ReplyDeleteHongera kwa kushangilia. Hii imenikumbusha wimbo wetu wa Taifa. kwamba beti la kwanza ... Mungu Ibariki Afrika... na beti la pili... Mungu Ibariki Tanzania... Hii ni kusema kuwa tulikuwa na Afrika kwanza (yaani waafrika kwanza ) kabla ya kutengwa au kubaguliwa na wakoloni ndipo tulipojikuta sasa watanayika, wakenya, warundi, wasuzafrika, wakihonda n.k. Hii Ndiyo sababu ya wafrika leo hii kushangilia timu za Afrika.. Mdau kihonda.
ReplyDeleteUnayeuliza swali hilo, kaa kimya maana hujui mpira.
ReplyDeleteivi mdau #1,tuulize sie wapenzi wa kandanda kabla hujalopoka ivo
ReplyDeletewee mdau wa kwanza ndo zimeama kweli hii inaitwa world cup na inachezwa kila baada ya miaka minne acha tuu hata wasiopenda soka wanajimix chezea world cup sio eeh dunia nzima inaangalia hii kitu sembuse bongo wapenzi wa timu za uk ndo ije world cup kina kaka nao wamo sema jingine hii usiguse wee huku nilipo watu tuliamka saa kumi na moja kuangalia ufunguzi na mechi kuanza kumi na mbili asubuhi though raha ya mpira iwe mida ya jioni huku unapata maji laini asubuhi mpira na chai acha tu mbele kwa mbele
ReplyDeleteDuh, mdau wa Sat Jun 12, 03:44:00 PM umeboronga boronga kweli maelezo yako. Huwezi kuandika Kiswahili fasaha? Hata alama tu za kawaida (punctuation marks) zero? Hata huyo jamaa unayemjibu sidhani kama amekuelewa zaidi ya neno moja tu i.e. "chai"
ReplyDelete